Nimeamini 100% Mwaka 2025 Rais ni Membe

Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
1,997
7,546
Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.

Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.

Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.

Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.

Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)

Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.

Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
 
Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.

Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.

Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.

Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.

Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)

Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.

Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Tutasikia mengi
 
Mwenzake yuko saiti
IMG_20220723_135157.jpg
 
Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.

Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.

Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.

Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.

Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)

Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.

Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Baki kwenye fani yako hiyo
 
Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.

Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.

Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.

Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.

Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)

Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.

Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Mwisho, ulipata mademu hapo ulipoenda?
 
Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.

Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.

Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.

Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.

Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)

Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.

Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Kazi na Bata 😆😆
 
Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.

Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.

Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.

Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.

Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)

Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.

Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Acha ujinga. Kumbuka wewe ni mtu mzima
 
Back
Top Bottom