Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
Gea habibuMama Sabrina!
kabla sja ondoka ulijuwa unatumia Id gan? Mweeeh!
Pole jaman kama nimekutesa am so sorry.
Ingia pm mara moja
Gea habibuMama Sabrina!
kabla sja ondoka ulijuwa unatumia Id gan? Mweeeh!
Pole jaman kama nimekutesa am so sorry.
Sijapanic,ila ww ndo unajua kicheko kina maana moja tu, kuachwa tunaachwa wengi tu mbona na maumivu yake nayajua siwezi kufurahia hiloSkuwa na maana mbaya but umeanza kwa kucheka umecheka twice kwenye msg yako mi nikajua ni kicheko cha kufurahi, sku jua kama ulicheka kwa kusikitika au kwa kulia au whatever.
Wala nlikuwa sijakulaumu na sja sema kama hujatoa ushauri kwakuwa nimeuona. Uspanic
Yani huyo lazima kapata bby mwingine. Poleni mwaya ila na nyie muumie kidogo huwa mnatuumiza sana.
happy heartbreakers dayDah... anyways, happy women's day
Mwanaume alikuwa anakujali,kwenye furaha mpo wote,,huzuni mpo wote,maenzi anajua kwanini usiumiee achana na wapitaji hata roho huwa haiumiSijapanic,ila ww ndo unajua kicheko kina maana moja tu, kuachwa tunaachwa wengi tu mbona na maumivu yake nayajua siwezi kufurahia hilo
Acha tu kipenzi waweza jikuta unaongea pekee yako barabarani, mapenzi yanauma mnoooooooo sitaki hata kukumbukaMwanaume alikuwa anakujali,kwenye furaha mpo wote,,huzuni mpo wote,maenzi anajua kwanini usiumiee achana na wapitaji hata roho huwa haiumi
jina lako nimelipenda..haha unanikumbusha Enzi zangu za computingKuna jamaa alikula andazi moja kwa siku tatu baada ya kuachwa...ako Chakula hakishuki yani.
All in all pole sana aisee, binafsi ilinichukua miezi minne mpaka kuwa sawa. Ila ndani ya hiyo miezi nilifanya mambo yangu binafsi ya kimaendeleo ili kujaribu kupunguza yale machungu na nilifanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Kama ulikua na mpango wa kununua gari,kiwanja,kujenga,biashara basi huu ndo muda wake, fanya kama unajipongeza mwenyewe.
GOODLUCK!!!
But we icheki msg yako ilivo anzaSijapanic,ila ww ndo unajua kicheko kina maana moja tu, kuachwa tunaachwa wengi tu mbona na maumivu yake nayajua siwezi kufurahia hilo
HahahahaGea habibu
Ingia pm mara moja
But we icheki msg yako ilivo anza
"Kajinyonge hahahaa" cmoon hii haiwezi kuwa gesture ya masikitiko. Nadhan sja ku mis understand ila wewe uli mispresent.
Lakini yaishe ndugu.
I shouldnt have said what i said
Au Ni yeye
Hata msibani utani upo hatuwezi nuna muda wote sababu tumefiwaBut we icheki msg yako ilivo anza
"Kajinyonge hahahaa" cmoon hii haiwezi kuwa gesture ya masikitiko. Nadhan sja ku mis understand ila wewe uli mispresent.
Lakini yaishe ndugu.
I shouldnt have said what i said
Hahah, ndio mkuuBraza huyo ex wako ulimsave
Ng'olo Kante nn?![]()
Pole, naomba unisaidie wimbo alo ku dediketia huo unaitwaje?
Hahah, I might be a lil bit guiltyYani huyo lazima kapata bby mwingine. Poleni mwaya ila na nyie muumie kidogo huwa mnatuumiza sana.
HahahaHahah, ndio mkuu
Aaah wimbo wenyewe nimeufutilia mbali wa kejeli tu
Kwanini kakuacha?.mda mwingine ukijua tatizo na ukalirekebisha mnarudiana na mnaishi vizuri tuI'm sad, depressed, and it's eating me up. My girlfriend left me. What should I do?
Hahahaha poa mkuuHahaha
Huyo kweli alikuwa kiungo adimu.
Ila kakuacha kikatili, fanya bas mpango na mimi niujue maana nahisi ntaachwa ndani ya wiki mbili hizi, nataka niujue incase ntatumiwa.
If its your first heartbreak no way out go through it utamsahau Tuu kila ka sio ur first heart break utakua ni faara saana.I'm sad, depressed, and it's eating me up. My girlfriend left me. What should I do?
Lakini msibani hatumtanii marehemu tuna watania wafiwa sasa wewe umemtwabga alo fariki mwenyewe lazma istushe kdogo, na pia lazima mtoa utani a present utani wake in the sense watu wajue kuwa ni utani tuu.Hata msibani utani upo hatuwezi nuna muda wote sababu tumefiwa