GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,240
Hata mimi nimeachwa na basi hapa korogwe, lakini sina huzuni kabisaaa. Mabasi si yako kibao tu, nitapakia lingine kesho, kwanza hili liloniacha wala sio zuri kivileee, kesho nitachagua basi kali la ukweli. Bahati nzuri sijaacha mzigo wangu nikonao mgongoni. ALAMSIKI.