Mwanaume huwa haachwi unakwama wapi mkuu?? unatuangusha mabahariaJamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
pole ndugu haikuwa bahat yako, tenga muda fanya mazoez, sikiliza music sana , ongea na washikaj(kampan I), punguza kuhonga sanaJamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
veepe wew mnyalu MZUNGUKO umepitiliza au... sio kwa shombo hiloo kah!!Looool!! Pole weee!!! Kuuumbe hata hujui soko la vinchechuda lilipo??
Kumbe nimeamini wewe ni zigo hasa. tena la vima!! Bora huyo mdada akajipumzikiege!!!
mkuu mie ni Mzulu hata chiswaili sijui bhizuri.
mnyalu mzulu wote sawa tu.mkuu mie ni Mzulu hata chiswaili sijui bhizuri.
Nilizani ni kare kajamaa kareta mada pevu. Tatizo yaani mnafanana sana kwa kimo mkuu am really sorry!!
Sijui kameenda kuramba ulabu kwanza. kazembe zembe mno kare ka jamaa!!.angalia sasa kametelekeza mada mezani.
Ki hivi Mke asiondoke kweli??
si sawa mkuu!! huyu yuko! South huyu yuko east africa!!mnyalu mzulu wote sawa tu.
ok sawa tuanzie hapa leo ya ngapi au ndo unamalizia mana zikifika siku za kukauka huwaga kuna katabia flan kanaibuka ukimaliza tu kanapotea 🙄 🙄😂
kwanza nime experience kwa shori wangu ndo mana nimekuuliza na sasa nimekuelewa majibu yako yametosha kujua mzunguko wako uko kwenye hali ipi.si sawa mkuu!! huyu yuko! South huyu yuko east africa!!
Umekosea zinakaushwa na nini sasa mkuu!! Au ....
Katabia hakajulikani kwa Mwenye nako.....
Bali wa nje ndo hujua.....magu hakujua kuwa ni mrafi wa madaraka....yakamuua!! Richa ya kumpa maono .
bashitee aaaah!! Aliponywa na watu.
Jamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
Kumbe nimeamini wewe ni zigo hasa. tena la vima!! Bora huyo mdada akajipumzikiege!!!
Hayo ni matumizi Mabaya ya vidole vyako Mkuu....kumbe huwa unafanya hivi kwa kupima nyaa Maalimu???!!kwanza nime experience kwa shori wangu ndo mana nimekuuliza na sasa nimekuelewa majibu yako yametosha kujua mzunguko wako uko kwenye hali ipi.
hujui hata kama huwa zikikutoka huwa zinakauka hujui dah majanga. uwe unajipima kwa 👆 🙄 utajua zipo au zimikwenda.
hahahahaaaa naona mzunguko unakaribia kukaa sawa dadangu.. polepole tu utarudi kwenye hali ya kawaidaHayo ni matumizi Mabaya ya vidole vyako Mkuu....kumbe huwa unafanya hivi kwa kupima nyaa Maalimu???!!
Daa aibu sana.
Najua kuwa wajua "Mtu hujulikana kwa Matendo yake"! Pengine akiwa sirini.... Sitaki kujua ushoga unaanzaje ila ni aibu.
kweli mkaka?hahahahaaaa naona mzunguko unakaribia kukaa sawa dadangu.. polepole tu utarudi kwenye hali ya kawaida
kuwa mpole tu dadangu utakaa sawa. umikataa kupima 👆 lkn naona unaanza kurudi vizurikweli mkaka?