Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,863
- 89,777
Sasa si tulikuomba msamaaha. 7 mara 7000 ukawa na moyo mgumu. Dah
Hahahahhahh msamaha ulikubaliwa
Sasa si tulikuomba msamaaha. 7 mara 7000 ukawa na moyo mgumu. Dah
Good kama ulimsamehe bahariaHahahahhahh msamaha ulikubaliwa
Mie niliachwa tarehe 7/2/2016 siku ya jumapili
Mwakani tukumbushane hizo tarehe basi ili tusheherekee miaka kadhaa ya uhuru
Hivi mtu anaanzaje kumuacha mtu kama wewe?Mie niliachwa tarehe 7/2/2016 siku ya jumapili
Mwakani tukumbushane hizo tarehe basi ili tusheherekee miaka kadhaa ya uhuru