Hahaha najaribu kuvaa uhusika wa Jamaa , sema nn, historia inatusaidia kujua tunapoelekea !!Kumbuka hii ni 2019 mkuu,naona unaweka uhalisia wa jambo lililotokea 2016
UsiuvaeHahaha najaribu kuvaa uhusika wa Jamaa , sema nn, historia inatusaidia kujua tunapoelekea !!
Sitaki rudia makosa
Aya aya mama, nimeelewa ..usikazie !!Usiuvae
o762100360 namba ake broBaharia unaachwaje kifala hizo, mtumie text, asahau kuhusu suala na kuachana na bado mpo kwenye mahusiano uone reaction yake
Nitakuoa bibie,mchakato wa ndoa uko tofauti na kuutamka kinywani. Lakini ondoa hofu kwangu umefika,penzi la mwizi lina nguvu mara tatu ya ile anayoitumia kubeba mizigo isiyobebeka nyakati za usiku. Karibu sana ni zamu yako kutulizwa na kufutwa machozi. Nataka nikusahaulishe maudhi na maumivu yote.Nakumbuka ulishaniambia wewe ni mwizi...nioe basi nitakutunzia siri
LiniNa Mimi nimeachwa
Siku saba kabla ya ValentineMie niliachwa tarehe 7/2/2016 siku ya jumapili
Mwakani tukumbushane hizo tarehe basi ili tusheherekee miaka kadhaa ya uhuru
@agata Edward
JanaLini
Na siku ya valentine akatuma text ndefuuuu ya kudai ananipenda sana mammmae zakeSiku saba kabla ya Valentine
Pole mnoo
UhahahaaaaaaKwa uandishi wako huo siwezi kukupa utomb3 hata mbwa wangu
Msamehe tuu jamaniNa siku ya valentine akatuma text ndefuuuu ya kudai ananipenda sana mammmae zake
Hivi joanah nawewe unatukana.!!!Na siku ya valentine akatuma text ndefuuuu ya kudai ananipenda sana mammmae zake
Hivi joanah nawewe unatukana.!!!
Anyway ulimkorofisha itakuwa paka akabadilika
😂 😂 😂 😂 😂Kwa uandishi wako huo siwezi kukupa utomb3 hata mbwa wangu
Sasa si tulikuomba msamaaha. 7 mara 7000 ukawa na moyo mgumu. DahHuwa situkani kabisa
Wala sikumkorofisha...wanaume akili zenu mnazijuaga wenyewe
Jana