Nimeachiwa mtoto ndani ya basi


Tuzidi kuombeana kheri mkuu!
 
Imewahi kunitokea dar. Ni njia nzuri zaidi kuliko kuwatupa chooni ama kuwatelekeza majalalani. Ila kwa kufanya hivyo mi siku hizi simsaidii mwanamke yeyote kubeba mtoto. Mi nilitelekezewa kwenye daladala. Niliteseka sana na mtoto huyo

Kwahyo ulifanyaje?au ulimpata mama yake?
 
Aisee! Inamana huyo mtoto hana baba? Ndugu wengine n.k? Naamini kwa kupitia uzi huu usishangae kujitokeza ndugu wa huyo mtoto!!
 
aisee pole sana....na hongera kwa moyo wako!
fanya mpango umuasili kabisa huyo mtoto ikiwa wewe na mchumbako mtakubaliana (nadhani itakuwa mkishaoana, si ndo iko ivo wakuu)
 
Nimekaacha kwa wazazi wangu, nakatafutia dada wa kukalea(yaya), mama amesisitiza kakae nyumbani umri wake usogee kwanza ndio kahamie kwangu

Unabahati kubwa sana mkuu! Mark my words. Embu fikiria kati ya watu woote na possibilities zooote ikakudondokea ww! Ur very lucky. Ningempenda sana huyo kiumbe. sana na nakushauri nawe iwe hivyo hivyo!
 
dah, pole sana. ila bora kakuachia wewe kuliko angetoa mimba au angemtupa dampo. hapo ana uhakika mtoto atalelewa atamtafuta ukubwani.
 

inawezekana kabisa malipo yakawa ni hapa hapa duniani,hebu kumbuka katika pita pita zako hujawahi kususa mimba?hujawahi kusema hautambui ujauzito ni wako?kama hujawahi kususa mimba then heri ya mwaka mpya
 
hiyo baraka mtu wangu, ila hakikisha unakamilisha taratibu zote za kumuadopt maana hii serikali hata haielewekagi aisee. Kuandikisha polisi tu bado utaratibu wa kisheria wa kumuadopt mtoto haujakamilika, malizia maana hii inaonekana baraka lakini usipoihalalisha kuwa baraka safi inaweza kukutia matatizoni akijitokeza mtu na madai yake. Si unajua watu wanachungulia fursa siku hizi?
 
aisee pole sana....na hongera kwa moyo wako!
fanya mpango umuasili kabisa huyo mtoto ikiwa wewe na mchumbako mtakubaliana (nadhani itakuwa mkishaoana, si ndo iko ivo wakuu)

Paloma i love this boy like my own, he's handsome and cool, nimeuchukua ushauri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…