Huo ni wivu tu mkuu,jaribu kuvumilia kidogo,i hope mambo yatabadilika.Ameianza nilipo pata safari ya kikazi
Oyaa hii nchi watu wamevurugwaPiga mashine Bob, pendelea kula Nyanya chungu mbichi saa Moja kabla ya show....au bamia mbichi kama utaweza na limau..... Utakuja nishukuru hapa. Hicho ni kiherehere kinamsumbua...na kinatokana na wewe kutomfikisha kileleni.
Sema nini jombaaa sio kesi... kama vipi we mwache wahuni tumshone tukuambukize mi yutiai sugu .....
KOSA KUBWA SANA HILI UNAFANYA MKUUnikabeba nguo zangu zote na sidhani kama nitarudi nyumbani tena. Nimeamua kuanzisha maisha mapya hukuhuku nilipoletwa kikazi, nimetafuta nyumba ya 'apartment', nimeichukua nakaa mwenyewe na nimeamua kumuachia kila kitu.
KOSA LINGINE HILI, HAKUNA MSINGI WA TALAKA HAPO. KUGOMBANA SIO MSINGI WA TALAKAbaada ya hapo nafikiri ndiyo mengine yatafuta, kama ni talaka au vipi lakini mpaka sasa uamuzi ni kwamba kila mtu aangalie maisha yake.
Basi kama ni hivyo unatakiwa upime, kama ugomvi wenu wakati hajabeba mimba ulikuwa wa kawaida badi mvumilie tu atarudi kwenye hali yake ya kawaida baada ya kujifungua!Sikatai ups and downs zipo kwenye ndoa lakini baada ya kuwa mjamzito ugomvi umezidi kuliko kawaida