Nimeachana na mke wangu

Usimuache. Wakati wa kelele acha azipige weee atanyamaza tu. Akipiga simu kwa ajili ya ugomvi pokea weka laud endelea na mambo mengine ataongea weweee vocha itaisha. Usitafute usuluhishi nje. Furahia maisha kwa namna nyingine. Mwanamke wa kuacha ni mzinzi, muuaji na mchawi, mengine ni kuyachukulia kama ya mtoto mjinga.

Sawa mkuu nimekuelewa
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Bado huna sababu ya kumwacha mke wako, subiri mke wako ajifungue, atakaa sawa. Ikiwa changamoto ni mimba itajulikana, ikiwa tatizo lipo kiroho itajulikana, na ikiwa tatizo linasababishwa na wewe napo itajulikana. Tunapaswa kuelewa mwanamke mjamzito anahitaji ukaribu wa mume wake, anapoukosa na mawasiliano yakawa hafifu ujue umetengeneza mgogoro mwenyewe. Acha kutangaza kumwacha mke sio sifa, Kaa tulia, tumia akili, mambo yatakuwa sawa.

Sawa mkuu nisahihi lakini yanatia hasira sana haya mambo
 
Amekuchukia kwasababu ya mimba na anavyofanya ivyo moyoni mwake anakuwa na amani sana,usijali mwanamke akikuchukia sana anakuletea kopi yako,akishajifungua utashangaa anabadilika kabisa

Hahahah bola hata umenifanya nitabasamu hapo kwenye copy
 
Polee ila wanawake wengine huwa naona ni visa tuu wanasingizia mimba.

Madam usiombe yaan mimi najijua huwa sio mtu wakukata tamaa kabsa lakini ukiona mbaka nafanya maamuzi magumu jua maji yashingo
 
Mkuu kwani hiyo ni mimba ya ngapi tangu muoane..yaani huyo ndo mtoto wa kwanza unaye tarajia kumpata?
Kama jibu ni ndiyo basi unatakiwa uzoee hiyo hali maana ni kawaida sana kwa wanawake wajawazito

Duuh sawa mkuu nimekuelewa
 
Achana na Dada yake wote lao moja- speaking from experience.

Cha muhimu umeupiga mwingi sana umeweza kutemana naye.

Mtihani wa mwisho kwako no baada ya mtoto kuzaliwa,je hutamfeel na kuona anahitaji mapenzi ya baba na mama?

Daah nitajua nafanyaje sababu namuwaza sana mwanangu baada ya kuzaliwa
 
Mambo ya kuoa bila kujifunza. Iko vipi mwanamke ni mtu wa hisia...na anapokuwa na mimba anapokuwa na mimba anataka wakati wote uwe naye...

Daah mkuu ubarikiwe sana umeongea kitu kikubwa sana shukrani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom