Nimeachana na mke wangu

HIVI MKIAMBIWA WANAWAKE WAKIWA WAJAWAZITO HIZO NI MAMBO ZA KAWAIDA...

NA NIMEGUNDUA NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA WAKATI WAKE WAKIWA WAJAWAZITO.

Mwanaume tujivunze kuwa na SUBRA.

Sawa mkuu
 
Mke akiwa mjamzito kama Hana Mungu ndani yake utapimwa matukio, lakini akijifungua atarudi kawaida mrudishe tu

Daah sawa mkuu lakini kwa sasa mwache akae tu hukohuko labda akishajifungua ndo ntajua chakufanya
 
Hivi jamani si tulishakubaliana ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu?
 
Kwanza pole mkuu, kwani alikuwa hivyo toka mnaanza mahusiano au ni baada kushika ujauzito au baada ya wewe kuamishwa kikazi?
 
Wabari wakuu na wanaJF,

Natumaini ni wazima wacha niende kwenye mkasa

Mke wangu ni mjamzito sasa mwezi huu wa 11 nilipata safari ya kikazi Dodoma now inaenda wiki ya 3 lakini baada ya kuondoka home...

Shukrani wakuu
Umechukua maamuzi haraka mkuu. Kwanza pole. Pili, hiyo inawezekana ni hali ya mimba kwanini usingemvumilia hadi ajifungue then umsome kama anaendelea na kisirani au vipi.
 
By the way nimetoka kusoma mada yako ya oct 20 2022 umekiri kumchukia mke wako ilhali yeye anakupenda. Na hujui sababu ya kumchukia. Sasa hii mada ya leo imetoka wapi?

Are you bipolar? Umekuja kutusimulia ili u justify maamuzi yako? Something is wrong somewhere
 
Kwanza pole mkuu, kwani alikuwa hivyo toka mnaanza mahusiano au ni baada kushika ujauzito au baada ya wewe kuamishwa kikazi?

Asantee mkuu
Nibaada ya kuamishwa ndo mambo yalipo badilika
 
Umechukua maamuzi haraka mkuu. Kwanza pole. Pili, hiyo inawezekana ni hali ya mimba kwanini usingemvumilia hadi ajifungue then umsome kama anaendelea na kisirani au vipi.

Nikweli mkuu lakini kukaanae karibu ndio shida zaidi inakuwa nibola nilivokuwa mbali nae
 
By the way nimetoka kusoma mada yako ya oct 20 2022 umekiri kumchukia mke wako ilhali yeye anakupenda. Na hujui sababu ya kumchukia. Sasa hii mada ya leo imetoka wapi?

Are you bipolar? Umekuja kutusimulia ili u justify maamuzi yako? Something is wrong somewhere

Hapana mkuu swala la kumchukia lilishaisha nshukuru mlinipa miongozo jins ya kufanya na nilifanikiwa na nilikuwa normal but sio kwamba mkewangu nilikuwa simpend noop nampenda sana wife lakin kwahili alilonianzishia imekuwa tatizo kubwa
 
Mke wangu ni mjamzito, sasa mwezi huu wa 11
Ilikuwa sio wakati sahihi kwako kuchukua maamuzi ya kumuacha/ kuachana,

Sababu Baadhi ya wadada/ wamama mimba huwathiri sana kisaikolojia na wanakuwa hawako sawa, na huwa na tabia zisizovumilika kutokana na mabadiliko anayoyapitia, hasa kwa mimba ya kwanza.
 
unaonekana ww bado ni mtoto wanawake wakiwa na Mimba wana vitabia vya ajabu vinavyokuja automatic fikiria je kabla hajabeba Mimba alikua hivyo? je ukimuacha itamsaidia mtoto wako ajaye? uliza sisi tuliowahi kuambiwa tunanuka tukiingia ndani ya nyumba kuna kaharufu ka uvundo kanachafua nyumba tena hapo ni nyumba unayolipia kodi ww na kila kitu ni chako alaf cha ajab ukichelewa kurudi unaaambiwa upo kwa malaya wako!

Nilishawahi kufukungiwa nje kwakua tu sijanunua kitimoto cha kuchoma kama alivyotaka nlinunua rojo!

Nlisha wahi kuliliwa kwa kumnyanyasa eti simjali na nachelewa kurud nakaa na mlaya zangu

Biblia imendika ishini na wanawake kwa akili
 
Unamhukumu bure huyo mwanamke hana dhida akijifungua atakaa sawa tu mvumilie sana kipindi ana ujauzito, endapo utamtesa basi mtoto atakayezaliwa haya yanawezekana.

1. Atakuchukia sana wewe baba yake
2. Ana uwezo akawa shoga sababu ya huzuni za mama akiwa mjamzito
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom