Nimeacha Pombe 31/12/2023

Nimeacha Pombe 31/12/2023

Mimi nilifanikiwa kuacha pombe dec 2024 mpaka hii leo sijawah kugusa pombe,imenisaidia kupiga hatua sana kwenye maisha,
Nakutakia mafanikio katika mipango yako
Pombe gni mnakunywa mpka mnashindwa kupiga hatua kwenye maisha?

Apo tatzo sio pombe tatzo ni wewe unapokunywa pombe.
 
pia hapo m4c hama ndio chanzo cha makundi ya walevi yanayo kuvuta ulevini
 
Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto!
Pombe na umalaya ni maji na tope, haviachani, mars nyingi mlevi akishabugia pombe plan inspotea, badget haina nafasi, masmuzi yske ni hapo kwa hapo. Ikiwa wewe siimnywaji usikubali kuoa/ kuolewa na mnywaji, hutokua na fursha kwenye ndos, zaidi utakuws na majuto kwenye mahusisno yenu.
 
Kwanini mkuu?
Walevi sikubzote wanajifariji kuwa mtu asiekunywa huwa ni malaya na mnafiki, sio kweli hata maramoja. Mlevi anashindwa akili na kuku , kuku anajua mda wa kuingis bandani, na mlevi akirudi nyumbani saa saba usiku na kukuta watoto wamelala atauliza mbona mmelala mapema? Mlevi ni mpuuzi mmoja tu
 
sema kwanza sababu za kuacha pombe ili tuone kama zina make sense!
 
hongera mi na Shemeji yako niwalevi tena tunaendana na staki aache pombe na namuhamasisha anywe jamani utamu wa mwanaume wangu mlevi naujua mimi na sijawahi kutamani aache Mungu asante kunipa hitaji la moyo wangu.
 
Back
Top Bottom