Nime Delete Files kwa Bahati Mbaya Nitapataje Tena

Nime Delete Files kwa Bahati Mbaya Nitapataje Tena

kama una PC tafuta program inaitwa es us data recovery ..iwashe PC yako chomeka USB cable seti simu kama unataka kutransfer mafaili kwa PC to simu ...baada ya hapo click es us data recovery , ikisha funguka nenda kwenye sehem inapo onesha memory ya simu (kama ni internal au external memory inategemea na ulipo kuwa umeziweka) click itakuletea option ya kuselect vilivyo kuwa vimedilitiwa utarudisha mpaka vya mwaka juzii

Nikiwa chuo ticha aliazima flash kwa mwanafunzi tulokuwa tunasoma nae kumbe alikuwa anaenda kutunga mtihani akahamishie kwa flash then akapeleka kwa libralian baada ya hapo akafuta lile faili la mtihani na kuirudisha flash kwa mwanafunzi ..kumbe majamaa walikuwa wanamchora alipo sepa tu flash ikafanyiwa recovery mtihani ukaja mzima mzima ..wee tukausolve kesho yake ilikuwa kama tunafanya rehersal
Mkuu unaweza nisaidia link ya hiyo covery please mimi nazunguka hata siipati
 
Fungua Software yako afu chagua volume label ya sim yako,itakwepo kwenye option apo
 
Nishafanya sana na vitu vinarudi labda kama ulifuta muda mrefu
Mimi nimeshangaa baadhi ya wachangiaji wanasema haiwezekani wakati inawezekana vizuri tu.
Mm nimejaribu kumpa maelekezo inbox lkn mtandao chenga kinoma.
 
software,,
Na zile key pale nitachagua zozote zile si ndio?

Pia wakati na install nimefika sehemu wananiuliza kama nichague automatically close tha applications au do not close the applications nichague ipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom