wakandax
Member
- Jul 12, 2018
- 36
- 7
Habarini ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 25 nimemaliza elimu yangu ya chuo kikuu na nina ajira kwenye kampuni
nipo kwenye mpango wa kuoa lakini napata shida ya mwanamke yupi kati ya hawa wawili nimtambulishe nyumbani nisaidieni: wana sifa hizi
1- huyu amesoma na ni mwanasheria kwa sasa lakini ana nidhamu mara nyingi tunakorofishana kwa mambo madogo inafikia kipindi atuongei wiki lakini tunarudiana uzuri wake ni mmoja hua namfurahia sana kwenye tendo pia ananisaidiaga nikikwama kibiashara
2:huyu ajasoma sana elimu yake ni kidato cha nne na akubahatika kuendelea na masomo lakini ana nidhamu sana ananisikiliza na kunipa mawazo chanya ya kuwaza maisha na wazazi wangu pia ni mcha Mungu sana , ila kibaya simfurahii sana tunapokua kwenye tendo ila nampenda kwa upole wake na unyenyekevu
NIFANYAJE MIMI?
nipo kwenye mpango wa kuoa lakini napata shida ya mwanamke yupi kati ya hawa wawili nimtambulishe nyumbani nisaidieni: wana sifa hizi
1- huyu amesoma na ni mwanasheria kwa sasa lakini ana nidhamu mara nyingi tunakorofishana kwa mambo madogo inafikia kipindi atuongei wiki lakini tunarudiana uzuri wake ni mmoja hua namfurahia sana kwenye tendo pia ananisaidiaga nikikwama kibiashara
2:huyu ajasoma sana elimu yake ni kidato cha nne na akubahatika kuendelea na masomo lakini ana nidhamu sana ananisikiliza na kunipa mawazo chanya ya kuwaza maisha na wazazi wangu pia ni mcha Mungu sana , ila kibaya simfurahii sana tunapokua kwenye tendo ila nampenda kwa upole wake na unyenyekevu
NIFANYAJE MIMI?