Nilizuia umwagaji wa damu Tanzania-Dr Slaa

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Kiongozi mkuu wa Upinzani ambaye pia ni Katibu mkuu wa CDM Dr Wilbrod Slaa amesema hekima yake ilizuia umwagaji mkubwa wa damu katika taifa hili.Akihutubia umati mkubwa wa watu huko Geita jana alisema baada ya wizi mkubwa wa kura zake za urais mwaka 2010 wananchi walimtaka atoe tamko ili waingie barabarani lakini alikataa katakata.

Dr Slaa aliyekuwa akishangiliwa kwa mayowe na umati huo alisema kwamba kuna watu hawakumuelewa alipokataa suala la kuingia barabarani.Lakini ukweli ni kwamba aliamini maisha ya watanzania ni bora kuliko urais alioporwa.

Dr Slaa amesema anataka Umoja na amani vizidi kutawala katika taifa hili ndio maana aliwatuliza wananchi ingawa kila mtu anajua jinsi matokeo ya kura za urais zilivyokuwa.

Dr Slaa yuko katika ziara kubwa ya kuimarisha uhai wa chama kanda ya ziwa.

SOURCE:TANZANIA DAIMA.
 
Hapo Mzee wa watu, mtumishi wa Mungu Dr. Slaa alitumia busara ya hali ya juu. Hakika CCM na majeshi yake wangeua raia wengi lakini wangeburuzwa Mahakama za kimataifa. Subira yavuta kheri, tumekuwa na subira na sasa tumeishajua mbinu wanazotumia kuiba, tutawadhibiti hadi CCM itakufa kifo cha polepole!
Big up Dr. Slaa
 
Kiongozi mkuu wa Upinzani ambaye pia ni Katibu mkuu wa CDM Dr Wilbrod Slaa amesema hekima yake ilizuia umwagaji mkubwa wa damu katika taifa hili.Akihutubia umati mkubwa wa watu huko Geita jana alisema baada ya wizi mkubwa wa kura zake za urais mwaka 2010 wananchi walimtaka atoe tamko ili waingie barabarani lakini alikataa katakata.Dr Slaa aliyekuwa akishangiliwa kwa mayowe na umati huo alisema kwamba kuna watu hawakumuelewa alipokataa suala la kuingia barabarani.Lakini ukweli ni kwamba aliamini maisha ya watanzania ni bora kuliko urais alioporwa.Dr Slaa amesema anataka Umoja na amani vizidi kutawala katika taifa hili ndio maana aliwatuliza wananchi ingawa kila mtu anajua jinsi matokeo ya kura za urais zilivyokuwa.
Dr Slaa yuko katika ziara kubwa ya kuimarisha uhai wa chama kanda ya ziwa.

SOURCE:TANZANIA DAIMA.

Haya ndiyo maamuzi magumu.NDIYO MAANA DR SLAA NI RAIS WA MIOYO YA WATANZANIA.UDUMU UMOJA NA AMANI TANZANIA
 
...wakati utafika hata asiposema neno, watu wataingia barabarani. Hali ni mbaya zaidi tunavyoweza kuandika.
 
Kiongozi mkuu wa Upinzani ambaye pia ni Katibu mkuu wa CDM Dr Wilbrod Slaa amesema hekima yake ilizuia umwagaji mkubwa wa damu katika taifa hili.Akihutubia umati mkubwa wa watu huko Geita jana alisema baada ya wizi mkubwa wa kura zake za urais mwaka 2010 wananchi walimtaka atoe tamko ili waingie barabarani lakini alikataa katakata.Dr Slaa aliyekuwa akishangiliwa kwa mayowe na umati huo alisema kwamba kuna watu hawakumuelewa alipokataa suala la kuingia barabarani.Lakini ukweli ni kwamba aliamini maisha ya watanzania ni bora kuliko urais alioporwa.Dr Slaa amesema anataka Umoja na amani vizidi kutawala katika taifa hili ndio maana aliwatuliza wananchi ingawa kila mtu anajua jinsi matokeo ya kura za urais zilivyokuwa.
Dr Slaa yuko katika ziara kubwa ya kuimarisha uhai wa chama kanda ya ziwa.

SOURCE:TANZANIA DAIMA.

Hatimaye Dr. na Rais wa wananchi wa Tz kasema kile ambacho kinatufanya tumpende kwa dhati na pia kinachomtofautisha kwa mbali na wanasiasa wote wa ccm na vyama njaa vya upinzani.

Take a mighty bow Dr. Slaa!
 
2015 uvumilivu huo hautakuwepo tena!wala hakuna mtu atakayemuuliza slaa tuingie mtaani au la!! wakichakachua tutapambana nao juu kwa juu watatumia vifaru ndege lakini nguvu ya umma itashinda!!
 
Back
Top Bottom