Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Kwa maana hiyo unafikisha ujumbe mimi ndiye mwenye matatizo? Right?Mimi nimemuelewa mbona?
Kwa maana hiyo unafikisha ujumbe mimi ndiye mwenye matatizo? Right?Mimi nimemuelewa mbona?
Kumfanya apate maumivu kama uliyoyapata sio kazi yako. Muombee aache tabia mbaya.Katika harakati za kutafuta mkate nilikutana na mwanaume ambaye hatimae akawa mzazi mwenzangu, tuliishi kipindi kirefu sana tukiwa kama mke na mume, mwisho wa siku jamaa akaamua kuachana na mimi kwa mbwembwe na udhalilishaji wa kimataifa, mabaya mengi sana alinizushia ili tu azma yake ya kutaka kuniacha kiholela ipate waungaji mkono.
Kwa kiasi kikubwa alifanikiwa wengi walimuunga mkono, kejeli matusi vilikuwa vikipishana mitaani vikinisaka mimi na haikuwa mimi tu mpaka familia yangu iliunganishwa kwenye hiyo dhihaka, kilikuwa kipindi kigumu sana haijawahi kutokea, maradhi msongo wa mawazo viliandama kiasi kwamba niliichukua dunia, nilijuta kwanini nilizaliwa.
Wakati mwingine nilitamani nife niondokane na haya mateso, lakini nilikuwa nikimwangalia mwanangu naishia kulia, nawaza nikifa leo huyu kiumbe asiyekuwa na hatia nitamwacha katika mazingira gani?
Mungu si James, kadri siku zilivyokuwa zinasonga mbele nikawa naizoea hali ile, nikaikubali hali ile na niambiwe au nisikie nini sikuweza kuumia tena, mpaka naandika uzi huu nina amani na yaliyopita yamebaki simulizi tu wala hayaniumizi tena. Kilichonileta kwenu ni hiki -mpuuzi yule ana kila dalili ya kutaka kujiletaleta kwangu, najua iko siku ataleta swaga zake za kiduwanzi, nimetafakari ikitokea nimjibu nini ili naye ayapate maumivu mara mia ya niliyoyapata mimi nimeshindwa.
Nisaidieni wana MMU.
Si kila ushauri unafaa. Utakapomuambia huyo mzazi mwenzako mtoto si wake. Na siku mtoto akitaka kumuona baba yake utamuambiaje? Damu nzito kuliko maji. Angalia maisha yako na mwanao. Huyo mtu atakapotezea muda wako tu.Asante
Tatizo umriiiiUshauri ndo alichoomba... ingekuwa busara sana kama ungepiga kimya, kuliko ulichoandika
Kumbe wewe tayari moyoni mwako unacho kitu ambacho umepanga kukifanya kwa huyo unayemwita "mpuuzi"; sasa umetuomba ushauri ili iweje wakati tayari unajua nini cha kufanya?Ni ushauri pia ila siwezi kuufanyia kazi, asante.
100Wewe umeachana na wangapi?
Huko ndiko kupata uzoefu. Utakuwa umeelewa wapi ulikosea/hukuwa makini, ukipata nafasi nyingine usifanye makosa.Katika harakati za kutafuta mkate nilikutana na mwanaume ambaye hatimae akawa mzazi mwenzangu, tuliishi kipindi kirefu sana tukiwa kama mke na mume, mwisho wa siku jamaa akaamua kuachana na mimi kwa mbwembwe na udhalilishaji wa kimataifa, mabaya mengi sana alinizushia ili tu azma yake ya kutaka kuniacha kiholela ipate waungaji mkono.
Kwa kiasi kikubwa alifanikiwa wengi walimuunga mkono, kejeli matusi vilikuwa vikipishana mitaani vikinisaka mimi na haikuwa mimi tu mpaka familia yangu iliunganishwa kwenye hiyo dhihaka, kilikuwa kipindi kigumu sana haijawahi kutokea, maradhi msongo wa mawazo viliandama kiasi kwamba niliichukua dunia, nilijuta kwanini nilizaliwa.
Wakati mwingine nilitamani nife niondokane na haya mateso, lakini nilikuwa nikimwangalia mwanangu naishia kulia, nawaza nikifa leo huyu kiumbe asiyekuwa na hatia nitamwacha katika mazingira gani?
Mungu si James, kadri siku zilivyokuwa zinasonga mbele nikawa naizoea hali ile, nikaikubali hali ile na niambiwe au nisikie nini sikuweza kuumia tena, mpaka naandika uzi huu nina amani na yaliyopita yamebaki simulizi tu wala hayaniumizi tena. Kilichonileta kwenu ni hiki -mpuuzi yule ana kila dalili ya kutaka kujiletaleta kwangu, najua iko siku ataleta swaga zake za kiduwanzi, nimetafakari ikitokea nimjibu nini ili naye ayapate maumivu mara mia ya niliyoyapata mimi nimeshindwa.
Nisaidieni wana MMU.
fanya hivi,tafura bwana,mpe hiyo stori halafu muwe wote siku moja umuite huyo jama,uache mlango wazi akigonga mfungulie iki aone laivu mnavyogegedana na huyo bwana mpyaKatika harakati za kutafuta mkate nilikutana na mwanaume ambaye hatimae akawa mzazi mwenzangu, tuliishi kipindi kirefu sana tukiwa kama mke na mume, mwisho wa siku jamaa akaamua kuachana na mimi kwa mbwembwe na udhalilishaji wa kimataifa, mabaya mengi sana alinizushia ili tu azma yake ya kutaka kuniacha kiholela ipate waungaji mkono.
Kwa kiasi kikubwa alifanikiwa wengi walimuunga mkono, kejeli matusi vilikuwa vikipishana mitaani vikinisaka mimi na haikuwa mimi tu mpaka familia yangu iliunganishwa kwenye hiyo dhihaka, kilikuwa kipindi kigumu sana haijawahi kutokea, maradhi msongo wa mawazo viliandama kiasi kwamba niliichukua dunia, nilijuta kwanini nilizaliwa.
Wakati mwingine nilitamani nife niondokane na haya mateso, lakini nilikuwa nikimwangalia mwanangu naishia kulia, nawaza nikifa leo huyu kiumbe asiyekuwa na hatia nitamwacha katika mazingira gani?
Mungu si James, kadri siku zilivyokuwa zinasonga mbele nikawa naizoea hali ile, nikaikubali hali ile na niambiwe au nisikie nini sikuweza kuumia tena, mpaka naandika uzi huu nina amani na yaliyopita yamebaki simulizi tu wala hayaniumizi tena. Kilichonileta kwenu ni hiki -mpuuzi yule ana kila dalili ya kutaka kujiletaleta kwangu, najua iko siku ataleta swaga zake za kiduwanzi, nimetafakari ikitokea nimjibu nini ili naye ayapate maumivu mara mia ya niliyoyapata mimi nimeshindwa.
Nisaidieni wana MMU.
Duuuuuh,jf kibokoHuyu mleta mada ni dume jike?
Thread zake kama za sexless, kwenye thread anakuwa na jinsi tofauti tofauti!
Aliyekuwa mke wangu sasa ni mchepuko wangu
TrueHuyo sio wa kumkaribisha na kumpa nafasi aisee, vinginevyo kama bado una hisia nae..
Dawa yake ni kumfungia vioo milele, kumpuuza na kumdharau mazima mbona atashika adabu yake.
Huu ujinga aiss,mpango mzm a n kumpotezea tu kama yeye alivofanyafanya hivi,tafura bwana,mpe hiyo stori halafu muwe wote siku moja umuite huyo jama,uache mlango wazi akigonga mfungulie iki aone laivu mnavyogegedana na huyo bwana mpya
Kweli mkuu,huwa tunajifunza kutokana na makosaHuko ndiko kupata uzoefu. Utakuwa umeelewa wapi ulikosea/hukuwa makini, ukipata nafasi nyingine usifanye makosa.
Sa unafkl dawa yake nn mtu wa hvyo unamkata kadudu kake kanakomtia jeur aone atakitumia wapUnsonekana kuwa katili kweli