Nilizalishwa na kudhalilishwa

Nilizalishwa na kudhalilishwa

!
!
Nadhani samehe tu.
Swala la kumrudia au lah linategemea mambo mengi sana kutaja machache ni pamoja na hisia zako kwa wakati huo, aina na namna ya utubuji wake, mazingira au changamoto anuai za wakati huo na kadhalika.
Sio rahisi kushauri jambo kama hili lakini nadhani ni muhimu ukiendelea na maisha yako huku yaliyopita yakibaki historia tu ya kufanyia comparison analysis.
 
Tatizo hiki kizazi kimekuwa cha watu wanaojipenda wenyewe.

Wakinadada pia wanaume wanapenda kupata kile kinachofurahisha mioyo yao. Tatizo sio kila kinachofurahisha moyo wako ndio hitaji lako/kitakufaa.

Mwanamke anamtaka Joni, coz john ni mrefu... Na sio kwakuwa joni ni MTU anayemuheshimu any atakayefaa kuwa baba Wa watoto na Mme bora.

Joni anampenda maria kwa kuwa maria ana shape kama coca cola.. Sio kwa kuwa maria ndiye mtu sahihi kusimamia familia yake..

Maria anataka mtoto kwa kuwa watoto ni fashion.. Au.anazaa na jumbe kwa kuwa jumbe ni mpemba nywele za mtoto zitatereza.. Mbaya hata akishazaa bado anaamini awe anauwezo wa kumlea mtoto au hana uwezo ...ni lazima mtoto akae nae yeye..

Kwann (akae na mtoto)? Kwa kuwa yeye ni mama. As if kuwa mama kunamfanya naturally awe mlezi bora. (Self entitlement!!! ) Mungu Atusaidie.

Kama wengi tungejua ...watoto sio trophies tungekuwa na huruma. Kwa kiburi chetu leo tunaharibu future yooote ya watoto wetu huko.mbeleni. upendo ni kitu kikubwa...na zaidi upendo Wa kweli haukufungi wala haukufanyi mtumwa.

Upendo wa mama ni pamoja na kujua when to.let her kids go. Akapate kilicho bira zaidi ya kile anachoweza kutoa.

Katika Uzi huu..nawaasa wote. Msije mkarudiana kwa sababu ya mtoto. Mkaona kama mnamsaidia.. mtamuumiza mno in the longrun.

Kuna uwezekano kwa kuwa mtt amehodhiwa na mama jamaa anaona arudishe majeshi ili kupata ukaribu na MTT.. Na sometimes mnaweza mkajivuta mpaka mkaoana..tatizo kama hakuna msukumo Wa pendo.. MTT akishajitegemea tu mnaanza kuomba mfe.

Na trust me..watoto ni binadamu wadogo wasiokuwa na uzoefu tu..ila wanauelewa. Watapick viashiria vya uwepo wenu..kama Furaha haipo huenda wakawachukia ninyi..if you are lucky.. Au wakajichukia wao for being a reason nyie mlikuwa hamna Furaha. Au both.

NB. Kuzaa na mtu ni uamuzi mkubwa sana. Swali langu huwa ni Je, ni wangapi huwa wana communicate nia ya kutaka kuzaa na MTU?! Wanajadiliana na kukubaliana?!

Selfless people don't just get pregnant...kisha wanakuextort uwaoe maana wanajua you love your kids.. Kisha una abandon every little good plan you ever had in your life. Halafu wanaexpect you have to be happy.. No wonder wanaume wanakufa na magonjwa ya.moyo na.misongo ya mawazo.

MUNGU Atusaidie. Tuyashinde.Haya.

Amina
Sikubaliani na mawazo yako hata kidogo hata sisi binadamu hua ni mbegu kivipi ujue
Haiwezekani niende nikaoe Mwanamke mfupi shapeless uso kama nyani halafu anizalie mtoto huyo mtoto atakae toka humo si atamzidi mama yake. Ukioa mwanamke mzuri hata mtoto atakua mzuri, mtoto afanane na Wasira duh,acha watu wajichagulie mbegu
 
Tunaweza tukakushauri hapa mwisho wa siku ukarudi kwake kiroho safi, mapenzi haya mmh...
 
Sikubaliani na mawazo yako hata kidogo hata sisi binadamu hua ni mbegu kivipi ujue
Haiwezekani niende nikaoe Mwanamke mfupi shapeless uso kama nyani halafu anizalie mtoto huyo mtoto atakae toka humo si atamzidi mama yake. Ukioa mwanamke mzuri hata mtoto atakua mzuri, mtoto afanane na Wasira duh,acha watu wajichagulie mbegu
Exactly my point.. Unless unayemtu wa kuwalea hao watoto wazuri sana.. Otherwise watakuwa hawa wazuri wanaoogopwa na kila MTU.. Kwa kuwa hakuna anayeweza kuishi nao.

BTW.. Any smart man atachagua class over beauty. Always. Oa mzuri halafu mchafu..mvivu.. Uone hata self esteem ya watoto itakuwa low. Wewe mwenyewe kujiamini kunaisha.
 
Sikubaliani na mawazo yako hata kidogo hata sisi binadamu hua ni mbegu kivipi ujue
Haiwezekani niende nikaoe Mwanamke mfupi shapeless uso kama nyani halafu anizalie mtoto huyo mtoto atakae toka humo si atamzidi mama yake. Ukioa mwanamke mzuri hata mtoto atakua mzuri, mtoto afanane na Wasira duh,acha watu wajichagulie mbegu
Exactly my point.. Unless unayemtu wa kuwalea hao watoto wazuri sana.. Otherwise watakuwa hawa wazuri wanaoogopwa na kila MTU.. Kwa kuwa hakuna anayeweza kuishi nao.

BTW.. Any smart man atachagua class over beauty. Always. Oa mzuri halafu mchafu..mvivu.. Uone hata self esteem ya watoto itakuwa low. Wewe mwenyewe kujiamini kunaisha.
 
Sikubaliani na mawazo yako hata kidogo hata sisi binadamu hua ni mbegu kivipi ujue
Haiwezekani niende nikaoe Mwanamke mfupi shapeless uso kama nyani halafu anizalie mtoto huyo mtoto atakae toka humo si atamzidi mama yake. Ukioa mwanamke mzuri hata mtoto atakua mzuri, mtoto afanane na Wasira duh,acha watu wajichagulie mbegu
Ahahahaah, goooood.....lazm muwepo watu kama nyie muoe madem wakaliii kinouma, mtuzalie watoto wakali ili tujigongee mautamu hayo

NB
Demu mzuri sio kwamba ndo mtamu
 
Njia nzuri ya kulipa kisasi ni "kusamehe"... Uskubali kurudiana nae ila itapendeza zaid ukimsamehe utaishi kwa Amani sana ,ila kwa upande wake utakua umemuumiza kisaikolojia maan alitegemea ndivyo sivyo ...itamuumiza kuona upo busy na maisha yako na upo happy... Forgiveness is the best revenge ever!
 
Ahahahaah, goooood.....lazm muwepo watu kama nyie muoe madem wakaliii kinouma, mtuzalie watoto wakali ili tujigongee mautamu hayo

NB
Demu mzuri sio kwamba ndo mtamu
Wanawake wazuri tumeumbiwa wanaume itakuaje nioe alie komaa kama mwanaume mwenzangu
 
Sikubaliani na mawazo yako hata kidogo hata sisi binadamu hua ni mbegu kivipi ujue
Haiwezekani niende nikaoe Mwanamke mfupi shapeless uso kama nyani halafu anizalie mtoto huyo mtoto atakae toka humo si atamzidi mama yake. Ukioa mwanamke mzuri hata mtoto atakua mzuri, mtoto afanane na Wasira duh,acha watu wajichagulie mbegu
 
Awe mzuri mwenye akili basiiii.....mademu wazuri tumeumbiwa sisi
Hivi ukizaa na mwanamke kama huyu hata Mungu atakubariki
f5e56679e8f47e59eca12531c9ef2e39.jpg
 
Namchukia kuliko kawaida
Usinene ukamara. Ukiona unaanza kutapatapa kutaka ushauri ujue kuna ugumu kuachana na mzazi mwenzako. Hili nalisema kila siku. Ila tumia busara zako zitakavyokuongoza maana hasira haitendi haki.
 
Hivi ukizaa na mwanamke kama huyu hata Mungu atakubariki
f5e56679e8f47e59eca12531c9ef2e39.jpg
Baba tofautisha uzuri na urembo....huyu demu ni mrembo,
Huyu anaoga vizuriii anapaka mafuta vizr, nmemkubaliii

Ukimuita mzuri utatugombanisha humu ndani
 
Back
Top Bottom