Nilizalishwa na kudhalilishwa

Nilizalishwa na kudhalilishwa

Mtu kama huyo unakaa nae mbali wala husimkaribishe kuongea nae.

Yaani mwacha apite huko.. akitaka mwanenu kumuona panga mtu unamuamini tena wa kiume awe anapeana nae.

Hayo ya kutuuliza usemeje ukiambiwa umwambie bado unampenda utamwambia!?
amwachie tu aikombe asali aliyo ibakiza
 
hivi wewe ni Mwanaume au mwanamke,? Hebu rejea thread zako
Wakati mwingine kumpa mtu ushauri humu JF ni kujichoresha tu.

Huyu sasa hajulikani jinsia na anachezea akili za watu. Huyu ni mtu anaetaka kupasha kiporo lakini anatafuta justification ya anachotaka kukifanya. Kwamba kuna watu walishamshauri afanye hivyo kwa hivyo hatakuwa yeye muanzilishi wa hiyo dhambi.

Huyu ni mwanandoa anataka kupasha wa zamani. Au yeye hayupo kwenye ndoa anataka akapashe kiporo na mwenzie alie ktk ndoa.
 
Wakati mwingine kumpa mtu ushauri humu JF ni kujichoresha tu.

Huyu sasa hajulikani jinsia na anachezea akili za watu. Huyu ni mtu anaetaka kupasha kiporo lakini anatafuta juatification ya anachotaka kukifanya. Kwamba kuna watu waliahamahauri afanye hivyo kwa hivyo hatakuwa yeye muanziliahi wa hiyo dhambi.

Huyu ni mwanandoa anataka kupasha wa zamani. Au yeye hayupo kwenye ndoa anataka akapashe kiporo na mwenzie alie ktk ndoa.
Utajichoresha kwa nani anayekufahamu wewe ni nani?
 
fanya hivi,tafura bwana,mpe hiyo stori halafu muwe wote siku moja umuite huyo jama,uache mlango wazi akigonga mfungulie iki aone laivu mnavyogegedana na huyo bwana mpya
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kumbe wewe tayari moyoni mwako unacho kitu ambacho umepanga kukifanya kwa huyo unayemwita "mpuuzi"; sasa umetuomba ushauri ili iweje wakati tayari unajua nini cha kufanya?

Kama wewe ni MKRISTO basi kumbuka imeandikwa hivi; "wapenzi msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya MUNGU maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi, mimi nitalipa anena BWANA. Lakini adui yako akiwa na njaa mlishe, akiwa na kiu mnyweshe, maana ufanyapo hivyo utampalia makaa ya moto kichwani pake. Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema". WARUMI 12:19-21

Tena imeandikwa; "kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na BABA yenu wa Mbinguni atawasamehe ninyi makosa yenu. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala BABA yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu". MATHAYO 6:14-15
Nachambua
 
Huyo sio wa kumkaribisha na kumpa nafasi aisee, vinginevyo kama bado una hisia nae..

Dawa yake ni kumfungia vioo milele, kumpuuza na kumdharau mazima mbona atashika adabu yake.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Si kila ushauri unafaa. Utakapomuambia huyo mzazi mwenzako mtoto si wake. Na siku mtoto akitaka kumuona baba yake utamuambiaje? Damu nzito kuliko maji. Angalia maisha yako na mwanao. Huyo mtu atakapotezea muda wako tu.
Nitamwambia kila kitu ili ajue sikufanya maksudi
 
Nitamwambia kila kitu ili ajue sikufanya maksudi
Chonde chonde ww fanya yote lkn km kweli huyo mzazi mwenzako ni baba wa mtoto. Usije kumuambia kuwa huyo mtoto si wako sbb siku mtoto akitaka kumuona baba yake hapo ndiyo utakapoona ulifanya kosa.
Najua moyo wako unauma kwa maumivu ya matendo uliyofanyiwa lkn nakuomba ukae kimya kbsa. Ww km hutaki hata kumjulia mwanao mblock kisha kaa zako kimya. Kukaa kimya ni jibu tosha kwa adui yako.
 
Back
Top Bottom