Niliyoyaona siku ya leo Jumanne

Niliyoyaona siku ya leo Jumanne

Yaani inabidi usiende huko Mars baki hapa hapa kwa Earth ili tuisubiri birthday! I saved the date, 14th April ntakuimbia kawimbo ka birthday [emoji6]. Then Happy birthday in advance beautiful Leen[emoji8]
[emoji16][emoji16]
 
Shame on you, I bet your degree is fake and of very low G.P.A.
You can't even spell "shit"
You think owning a car is an achievement?....
You are more of a spinster than a bachelor.
Spare the vernom.
Usipo niua unanikomaza kiaskari
 
Wadada wa jf mjiongezege basi

Mambo muhimu

Ana gari...huu n ulimbo kwa mabint

Anaenda sokon..amechoka kupika anhtaj msaidizi

Ninja kaona badala ya kusema nahitj mke katumia njia mbadala haya Sasa changamkeni huko pm
anafanya mazoezi, hana wivu na wanaume aliowazidi kipato.. dogo ni husband material
 
Sasa why ulikua unazungukaa mara ulienda sokoni stereo, ukafanya mazoezi mara ndinga aarh, ungesema tu jamani nani tuuage naye ubachela😀 ila sawa nakuja babe Boli
Sasa ungejuaje mpwa anamafanikio mpaka gari analo?
Boli ndio Ile type akiwa na demu badala ya kutaja shida yake ya papuchi anaongelea habari za gari, friji lake na biashara za mjombaake.
Boli. Learn to hit the nail on the head.
 
Elimu ngazi ya digrii(bachela)

Wajuba hii elimu huwa tunaipata magetoni kabla hatujaoa ndio maana tunaitwa mabachela
 
Back
Top Bottom