Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,261
- 72,431
Sawa tumeshajua una gari
SawaSwala sio gari mkuu
Usisahau kufanya ibada mkuuPesa kidogo tu tunaanza kuvimbiana kwa mtaa, hahahahah, wanadamu bana wanataka kuishi kama vile washa fika peponi, mfalme Sulemani anasema hayo yote ni ubatiri mtupu, kikubwa kula, kuvaa na Pumzi basiiiiiii,
Nimtazamo tu
una bahati sana kuajiriwasasa hivi nimeacha bangi mkuu baada ya kuajiriwa.
Mimi kilichoniuma zaidi, kwahiyo birthday yangu ya 14th April imeshapita sijapewa hata zawadi jamani..?? 😕Huko Mars ulipo leo ni 16 April?? A month ahead of us😛
Thank you brouna bahati sana kuajiriwa
serikali hii haiajiri tena ni bora ungesema umejiajiri ukavuta mkoko
lkn km umeajiriwa unasubiri mshahara hiko Sokoni Tandikabado hawajakutandika sawasawa maisha magumu watu hatuna kazi
karibu JF maana naona umeingia juzi mwezi huu
Sawa,mkuu karbu sna naona umeongea inverse...!! Hii sio sehem ya majaribio hata kidogo mkuu, hapa ni kama unataka kumjaribu Mshana Jr na uchawi wako wa laki 1.Wew utakua ni chakula ya watu maana Tanzania hii wanaofanya kazi ngumu za mizigo wapo miaka yoote sasa wew na wac wac na jinsia yko!!!!!!
Yaani inabidi usiende huko Mars baki hapa hapa kwa Earth ili tuisubiri birthday! I saved the date, 14th April ntakuimbia kawimbo ka birthday 😉. Then Happy birthday in advance beautiful Leen😘Mimi kilichoniuma zaidi, kwahiyo birthday yangu ya 14th April imeshapita sijapewa hata zawadi jamani..?? 😕
Shame on you, I bet your degree is fake and of very low G.P.A.Ooh shitt nigga
Mimi kilichoniuma zaidi, kwahiyo birthday yangu ya 14th April imeshapita sijapewa hata zawadi jamani..?? 😕
this is too huge babe FS, thank you so much..!! Millions of kisses to you..!!😘Yaani inabidi usiende huko Mars baki hapa hapa kwa Earth ili tuisubiri birthday! I saved the date, 14th April ntakuimbia kawimbo ka birthday 😉. Then Happy birthday in advance beautiful Leen😘