hii sio sehem ya mashindano ya kuandika aya mkuu.. ila asnte kwa ushauri matunduiziChuo gani hicho ambacho watu wanamaliza hawajui kuandika.
Namashaka kama ulisoma IMLA darasa la tatu...
Fanyia kazi huu ushauri
Kitaalam inaitwa conversation implicature ulichotaka kusema na ulichomaanisha ni vitu viwili tofautikwa nini mkuu??
Changamkia furusa hiyo bibie,Huko Mars ulipo leo ni 16 April?? A month ahead of us[emoji14]
Pamoja.hii sio sehem ya mashindano ya kuandika aya mkuu.. ila asnte kwa ushauri matunduizi
Maandish tu yanarekebishika mkuu hapo bibie ajiongeze Jimbo liko waz hiloChangamkia furusa hiyo bibie,
Japo ana uandishi mbovu.
back to the point,get the concept unaonekana unapenda sna sikukuu mkuu.
Chuo cha ufundi cherehaniChuo gani hicho ambacho watu wanamaliza hawajui kuandika.
Namashaka kama ulisoma IMLA darasa la tatu...
Fanyia kazi huu ushauri