Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,803
- 17,418
Karibu mno. Binafsi wife huwa namchukulia hapo ama nampeleka. Sema wale vijana wanachekesha Mara wewe dada mwenye nywele za marehemu sogea hapa uchagueAsante Nikija ntakucheki unipeleke mkuu !
Wanywe ama wateme☺️☺️☺️😁!!Kwenye familia wapo jamaa walihamia huku kitambo hapa nilipo nimekuta vijana wawili wako vibaya kwa matumizi hayo ya madawa ya kulevya na mmoja katoroka sober house hivi juzi tu, achana na majirani, jamii hii ni ubabe, ushoga, bangi, ulevi ndo mkoa ambao wanawake wana hulka za kiume, ,
Najua inawauma ila ndo hivyo mnywe ama mteme, mna ujinga mwingi sana
Yanii nilikua naenda kusaulaajeee palee! Na zile pochi za mitumba zilizokua zinawekwa pale chini pia zipoo???Karibu mno. Binafsi wife huwa namchukulia hapo ama nampeleka. Sema wale vijana wanachekesha Mara wewe dada mwenye nywele za marehemu sogea hapa uchague
Huyo ameona maisha ya kuendesha Van za delivery za Mc’Donalds hazilipi ameamua kukamata kibibi alelewe. Sasa kibibi kampiga stop kutumia simu wala mawasiliano yoyote, limefungiwa ndani lina kazi ya kufua chupi na kupiga mashine.Mangi tulia...
Hebu msalimie ngabu kwanza
Ongea yote ila kuilinganisha na Arusha utakuwa una matatizo sio bure.Wakuu wazima?
Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza
1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.
2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.
3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).
4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.
5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.
6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)
Asanteni wakuu
Watachagua wenyewe, 😂😂Wanywe ama wateme☺️☺️☺️😁!!
Washua wavaa kata k na kuvuta bangi!!! Bora niendelee na ushamba wanguArusha ni ya kishua sio ya washamba ujue
Mtu aliye sawa kichwani hawezi amini unachoandika hapa.Kwenye familia wapo jamaa walihamia huku kitambo hapa nilipo nimekuta vijana wawili wako vibaya kwa matumizi hayo ya madawa ya kulevya na mmoja katoroka sober house hivi juzi tu, achana na majirani, jamii hii ni ubabe, ushoga, bangi, ulevi ndo mkoa ambao wanawake wana hulka za kiume, ,
Najua inawauma ila ndo hivyo mnywe ama mteme, mna ujinga mwingi sana
Ngoja wakakunywee vinywaji vikaliiii plus bange miraa kuberi wakujie kukupopoa☺️☺️😁!!Watachagua wenyewe, 😂😂
Nimeshawapa na location nilipo, njiro wasela mavi🤣🤣🤣Ngoja wakakunywee vinywaji vikaliiii plus bange miraa kuberi wakujie kukupopoa☺️☺️😁!!
🤣🤣🤣Kwakweli nilikuwaga nawasikia ila kwa nayoona kwa ndg hawa,, Arusha ni mibange na wasela mavi,,, niko njiro mkuu njoo unipigeMtu aliye sawa kichwani hawezi amini unachoandika hapa.
Kumbuka unachokiandika kinadhihirisha kilichojificha kwenye medula yako.
Namna yako yakufikria haipo sawasawa.
Wewe ni mwongo.
Nimepamiss na City Mall ule mziki wa weekend sio poaa💃!Unatamani ukeshee!Njooo gharama zote kwangu usijali
Acha uongo au ulifikia kijijini ambako ni kawaida hata kwa mikoa mingine ebu taja uliposikia wanazungumza kilugha4. Kila wanapokaa hudhani wote ni
Bonasera Ni zaidi na hapo kasiki unapoongelea karibu na Rocky city mallNimepamiss na City Mall ule mziki wa weekend sio poaa💃!Unatamani ukeshee!
Njiro sio hadhi yako bibie wewe ni mvaa yeboyebo tu hapo nyegezi na kuongea kilugha kwenye basi🤣🤣🤣Kwakweli nilikuwaga nawasikia ila kwa nayoona kwa ndg hawa,, Arusha ni mibange na wasela mavi,,, niko njiro mkuu njoo unipige
Hata shamaliwa yenyewe kwa sasa huwezi kuta watu wanaongea kilugha,labda uende mbele huko maeneo ya fumagila....Hizo sehemu zote ni mjini na utakutana na jamii ya watu tofauti tofauti, kusikia kilugha ni nadra sana. Utakuwa ulipita shamariwa mkuu.
Hahahaaa halooo kwamba njiro kuna jipya lipi! Wasela mavi mko na shida sana bongo zenu zishafyatuka na mibangeNjiro sio hadhi yako bibie wewe ni mvaa tu yeboyebo hapo nyegezi
View attachment 2561929
Wahindi wenyewe kuna wengine hawajui kuongea kihindi hata kidogo...wanaongea lugha za ukanda wao mfano watu toka tamil nadu lugha tofauti kabisa na hao wa MumbaiWewe unaongea yai lako Hilo na huku uk tu hapo Kuna Scottish,welish,and Irish nadhani Scottish huwa anajiona superior mno. Kuna visiwa ukienda uka English yao na yako mnapoteana.
Sasa ziko developed waliamka tu wakajikuta wako developed mkuu ama unaongea kwa hisia huelewi sie huku bado hakujakucha bado Ni usiku ama huelewi.
Wewe ndiye wale mnaotaka tuwe na roads Kama za USA ,na metro Kama ya Russia ama Spain.
Sikia urusi yenyewe achana na Belarus,Kiev or whatever Kuna kabila zaidi ya 80 sema wanatumia Russian language as their national language. Unataka uniambie like Taifa la China wote wale wanaongea Mandarin hakuna ethnic groups mdogo ndogo kweli. Hili suala la kabila lipo kila nchi hata uteme slang yako.
Njiro umekuja housegirl sivyo utarudi kwenu soon baada ya kupigwa tukio ukiongea kilugha mjini😅Hahahaaa halooo kwamba njiro kuna jipya lipi! Wasela mavi mko na shida sana bongo zenu zishafyatuka na mibange
Naongea kilugha wala sivungi, bora mie housegirl we msela mavi una nini zaidi ya kuvuta bangi na kuvaa kata kundu,Njiro umekuja housegirl sivyo utarudi kwenu soon baada ya kupigwa tukio ukiongea kilugha mjini😅