Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,803
- 17,417
Icho kilugha halipo bana labda itakuwa Ni illusion ama heuristic zako tuItakua Mwanza umefika peke yako, binafsi nishafika Mwanza zaidi ya mara 3 kuna baadhi ya sehemu wanaongea kilugha mfano stand ya mabasi
Kanda ya ziwa kuna ukarimu na nidhamu sana ila huku chuga ni kasheshe si wanawake wala wanaume hawana utu wala hofuMfano ukiwa Arusha stend bangi inanuka mno. Hapo kitaa Cha shivaz vijana waoza meno wanagongea mno pombe na glasss za plastic
Swaga ganiHata media coverage hawaoni watafute watu wanaongoza kwa watangazaji wenye umaarufu na influence kubwa lazima wawe na swaga za chuga...
Tunaishi nao njoo njiro nikuonyeshe hadi aibuHayo ni madai yako.
Sasa kazi kwako kuthibitisha.
Tuanze na bangi. Je, wewe umevuta bangi na vijana wa A town? Au ulifahamu kwa namna gani?
Pili ushoga. Je, wewe binafsi umeshafanya ushoga mara ngapi ukafahamu hili?
Shida Yako ni ushamba na hapo unataka Ligi ya Arusha vs MwanzaWakuu wazima?
Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza
1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.
2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.
3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).
4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.
5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.
6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)
Asanteni wakuu
Ila watu wanaosemaga Mwanza ni Mji mzuri Huwa wananishangaza sanaHuwezi kuitaja Mwanza tu mpaka uhiusishe na Arusha!? Kwanin munapenda kushindanisha Icho kijiji chenu na jiji la Arusha?
Matapalei fursa zipi😂😂 kule kwenu mnakimbia vibaka.
Mkija huku Kuna jua kali msivae Makoti mnaonekana kama bodaboda na washamba.
Kumbe unajua kujitetea 😂
Inawezekana vipi wewe unaishi na kila mtu?Tunaishi nao njoo njiro nikuonyeshe hadi aibu
Arusha kwanza inamalizwa tu na nyakato yote ama nyegezi pekee bana. Ligi gani ama unataka kuleta ukenya swaga Mana ndio zenu. Arusha ukishafika mianzini tayari unakutana na waarusha Kama kijijiShida Yako ni ushamba na hapo unataka Ligi ya Arusha vs Mwanza
Njooo gharama zote kwangu usijaliNimeshapamiss Mwanza !!
Kwa kipi hasa? Mimi Huwa naona Mwanza Ina maisha ya kishamba na ya Vijijini jijini..Arusha kwanza inamalizwa tu na nyakato yote ama nyegezi pekee bana. Ligi gani ama unataka kuleta ukenya swaga Mana ndio zenu. Arusha ukishafika mianzini tayari unakutana na waarusha Kama kijiji
Kwenye familia wapo jamaa walihamia huku kitambo hapa nilipo nimekuta vijana wawili wako vibaya kwa matumizi hayo ya madawa ya kulevya na mmoja katoroka sober house hivi juzi tu, achana na majirani, jamii hii ni ubabe, ushoga, bangi, ulevi ndo mkoa ambao wanawake wana hulka za kiume, ,Inawezekana vipi wewe unaishi na kila mtu?
Andika vitu vyenye mashiko.
Nimekuuliza wewe umewahi kufanya ushoga na vijana wa A town?
Ukisema mnaishi nao hiyo maana yake na wewe ni mdau.
Je, nakosea kusema hivyo?
La makoroboi. Ungeniambia nikupeleke walipopelekwaHivi lile soko likilokuaga la nguo especially ile mitumba ilokua inamwagwa pale makoroboi lilihamishiwaga wapii??? 🤔
Siku ya kufungua yale ma baloo nilikuaga natingajee kusagula viwalo vya mtumba juzikati nilipita na visenti bubu nikaambiwa lilihamishwa !!
Envy emotionsKwa kipi hasa? Mimi Huwa naona Mwanza Ina maisha ya kishamba na ya Vijijini jijini..
Kwa mfano uzuri wa Mwanza ni upi? Kama ni mandhari huwezi linganisha na Arusha,kama ni majengo mazuri hivyo hivyo,kama ni Mji kuwa busy Arusha Iko mbele ,kama ni wageni Arusha wako wengi na mwisho Arusha ni jirani na Nairobi Ina maisha ya kishua Sasa huo uzuri wa Mwanza ni upi?
Wivu tuu huna loloteWatu wa Arusha ni matapeli na wavuta bangi,, njooni mnipige niko njiro
Asante Nikija ntakucheki unipeleke mkuu !La makoroboi. Ungeniambia nikupeleke walipopelekwa
Wafuge Rasta vibibi vya kizunguWivu tuu huna lolote
Niwaonee wivu wavuta bangi na walevi😂😂😂Wivu tuu huna lolote
Mkuu hakuna mji ambao una watu wabaya tu, wapo ambao ni wazuri. Hata Gamboshi kunakosifika kwa uchawi wapo ambao hawapractice huo uchawi, lakini hii haiondoi kwamba Gamboshi kuna tabia fulani ambazo zinafahamika.Basi hiyo ni experience mbaya. Binafsi ninaamini kila mtu anastahili heshima lakini pia kila mtu ana uhuru wakuvaa vile anavyopenda kwa kuzingatia jamii inayomzunguka.
Hao vijana wenzake walifanya vyema kumkamata kama unavyosema.
Je, kwa walichokifanya hao vijana wengine huoni hiyo ni jambo jema hata wakakusaidia?
Je, huoni hiyo inathibitisha wakazi wa A town ni wema mbali na wabaya wachache? Ambao kila mji kuna watu wa namna hii japo ubaya wao unaweza kuwa kwa namna nyingine?
Arusha ni ya kishua sio ya washamba ujueNiwaonee wivu wavuta bangi na walevi😂😂😂