Kwani huko unakutaja sio Arusha??Wapita njia hawawezi kukulewa..
Wanywaji wa mrina na picnic hawawezi kukuelewa.
Watakuelewa watu walio set stds zao na maeneo yenye hadhi Arusha.
Anayeshinda matejoo, unga ltd na Ngarenaro hawezi kuelewa uyasemayo
UswahiliniKwani huko unakutaja sio Arusha??
Basi hiyo ni experience mbaya. Binafsi ninaamini kila mtu anastahili heshima lakini pia kila mtu ana uhuru wakuvaa vile anavyopenda kwa kuzingatia jamii inayomzunguka.Nilisharushiwa jiwe moja likanikosa akawa anakimbilia kuomota mengine anirushie huku anaporomosha matusi wenzake wakamkamata. Hii ilikuwa Sombetini mwaka 2009.. Unazijua Supra? Nilikua nimekula Supra ya 120k mguuni kijana kalewa mgundi huko anaona wivu anaanza poromosha mawe..
Kwahiyo Arusha ni Njiro, Sakina na ile Sanawari ya chini near AICC tu sioUswahilini
Mangi tulia...Kwahiyo Arusha ni Njiro, Sakina na ile Sanawari ya chini near AICC tu sio
Hii chumvi ni magadi kabisa ya pale ziwa Balang'ida LehuMaeneo mengi yaanza na 'Nya'...
Nyasaka
Nyashishi
Nyakato
Nyambiti
Nyakahoja
Nyamongolo
Nyashana
Nyashishi
Nyamadoke
Nyakanazi. nk
Wakupige kwasababu gani?Watu wa Arusha ni matapeli na wavuta bangi,, njooni mnipige niko njiro
Lugha yako ya nani wewe tulipaswa kuwa na lugha moja tu kiswahili futilia mbali lugha za makabila lengo kujenga umoja lugha ni chanzo cha kujenga umoja au kubomoa.Sio muiko Wala mwiko. Hajui wazungu wenyewe Wana kabila zao na hizo lugha za mataifa yao Ni tizi kuzimasta. Franch, Germany language Ni national language Kuna makabila bado humo ndani ndani ya hizo nchi.
Kuna watu wakishasoma ama wakifika USA wakirudi Ni kutema slang ya kufa mtu eg you know,I gonna,I wanna die hard getting this psyy so wanajiona wako juu ama wamestaraabika fulani.
Yaani mtu kukataa vya kikwenu inaonekana kma wewe mjanja Mara mie sijakulia kijijini na wakati Kuna watt wamezaliwa new York wanajua kuongea kikurya Sasa wewe kuzaliwa kwa mtoghole ama igoma unajiona Kama Ni ujanja kutotukuza lugha yako.
Inawezekana vipi hujazungumzia experience yq mbususu na minyanduanoWakuu wazima?
Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza
1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.
2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.
3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).
4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.
5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.
6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)
Asanteni wakuu
Hata media coverage hawaoni watafute watu wanaongoza kwa watangazaji wenye umaarufu na influence kubwa lazima wawe na swaga za chuga...Observation nzuri.
Wanafunzi wa vyuo wanaotoka A town wanaonekana wapo mbele kuwazidi wenzao wanaotoka mikoa mingine kwa maana ya lifestyle ya maisha yao.
Nilisema hapo juu, hii hali ya watu wanaoishi mikoa tofauti na A town kujiona inferior inaanzia college.
Binafsi wakati nasoma niliona hii. Wanafunzi wanaotoka mikoa tofauti na A town wanakosa kujiamini wanapokuwa pamoja na students from A town.
Ni shida kubwa
Itakua Mwanza umefika peke yako, binafsi nishafika Mwanza zaidi ya mara 3 kuna baadhi ya sehemu wanaongea kilugha mfano stand ya mabasiKwenye kilugha ni uongo, Mwanza imejaza watu wa mikoa mbali mbali. Hasa mkoa wa Mara, lugha itumikayo ni kiswahili tu.
Mashindano ya vijijiWewe unazungumzia Mwanza, sasa Arusha inahusikaje?
Bangi, ushoga, ubabe na utapeli ni tabia za vijana wengi ArushaWakupige kwasababu gani?
Hoja yako inakosa maana.
Huu ni mjadala. Tunapigana kwa hoja.
Kama unayo weka mezani. Wajumbe wataiunga mkono au kuipinga.
Kwa lipi Sasa. Na wewe umesoma chuo ama shule gani. Mbona hayo sikuyaona mie wakati nasoma. Shida ya huko ukenya umewaathiri mno. Mana Kenya watu wanashindana kikabila na kikanda na suala la kujitenga kimajimbo linatokea huko huko. Unakumbuka mareale aliwahi kwenda un kudai Uhuru before ya nyerere Ila yeye aliomba wapewe Uhuru wa kaskazini sijui ndio wachaga wenyewe so akanyimwa.Hata media coverage hawaoni watafute watu wanaongoza kwa watangazaji wenye umaarufu na influence kubwa lazima wawe na swaga za chuga...
Mfano ukiwa Arusha stend bangi inanuka mno. Hapo kitaa Cha shivaz vijana waoza meno wanagongea mno pombe na glasss za plasticBangi, ushoga, ubabe na utapeli ni tabia za vijana wengi Arusha
Mkuu, kama kuna mdau humu anaetoka Mwanza muulize. Nilikaa muda mchache sana lakini hii ndo ilivutia. Maeneo mengine mengi tu nimesahau.Hii chumvi ni magadi kabisa ya pale ziwa Balang'ida Lehu
Hayo ni madai yako.Bangi, ushoga, ubabe na utapeli ni tabia za vijana wengi Arusha