Asante naichukua hiiVuta subra, utampata anekupenda na unarmpenda despite your age
Usiingie kwenye kifungo na mateso just kwa sababu una shida ya ndoa
Ndoa ni furaha mama, tena furaha isio na mwisho,sasa ukiolewa na usiempenda ni kama unakaribisha matatizo kwenye maisha yako na ya huyo usiempenda
Smoerishi ndo unavyojiita sio bila shaka wewe ni member mkongwe ,chakufanya na umri wako unadhani in busara kweli! Nakushauri mwache huyo mshkaji awe huru ,bila shaka yupo anaemzidi tatizo hana uelekeo wa kukuoa,swali upo kwenye mahusiano ili uolewe?,au upo kwa upendo wa dhati? Hata akikuoa utaishia kumcheat na atakuulia mbali usicheze na hisia za mtu
Eeh njoo Pm.Seriously
Huu ni ushauri mzuri sana dada,utekeleze,mtu wa kukuoa anayekufaa na utakayempenda utampata tuUsiolewe nae heri ukafa single kuliko mateso utakayompatia huko ndani please muache atampata wa kumfaa
Ushauri huu ni wa muhimu San, Jah akubariki kwa hekima na busara.Usiolewe nae heri ukafa single kuliko mateso utakayompatia huko ndani please muache atampata wa kumfaa
Shukrani SanaUshauri huu ni wa muhimu San, Jah akubariki kwa hekima na busara.