Dah una umri mzuri kweli kwa sie wagegedaji....vuta mda mpaka 30 ndionuanze kupanic
Usitutishie bwanaSiku nikijua mwanamke wangu anipendi yuko tu na Muda wangu keshaupoteza asee gunia mbili za mkaa lazima zimuhusu..
Pumbafu kabisa.
Naomba unijibu.Nipo kwenye mahusiano ambayo simpendi mtu niliyekuwa naye kwa matakwa yangu binafsi na wasiwasi kumuacha huenda nikakosa mwanaume wakunioa uko mbeleni.
Kiukweli kila akinitamkia kunioa sijisikii kabisa na wanaume naowapenda hawanitongozi na umri unaenda yaani sijui nifanyeje mwenzenu.
nakaziaEndelea hivyo hivyo mpaka mvi zikuote. Ukishazeeka.. utapata huyo mwanaume unayemtaka .kenge wewe