wakuu nipeni mwongozo wa maisha halisi ya dar kwa daraja la kawaida, nina mke nina fani fundi useremala. nimekaa morogoro miaka 10 bila ya mafanikio ndio maana natamani kuondoka hapa,m sina uzoefu sana na dar ila kajaribu ndugu
Ushauri wangu njoo mikoani hiyo fani yako utapata mafanikio makubwa