Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,230
Wanafunzi wawili baada ya kumaliza mtihani wa Kiswahili wakawa wanaongea.
Mwanafunzi 1:Mtihani ulikuwa mzuri sana na mda ulitosha.
Mwanafunzi 2:Maswali yote marahisi ila isipokuwa swali la 5 lilikuwa ngumu na sikujibu.
Mwanafunzi 1:kwani swali la 5 linasemaje?
Mwanafunzi 2:ilikuwa inauliza kuiweka neno'''NINAWAZA""katika mda ulipotita,basi niliwazaaaaaa,niliwazaaaaaa sana
mpaka sasa sijapata jibu.
Mwanafunzi 1:Mtihani ulikuwa mzuri sana na mda ulitosha.
Mwanafunzi 2:Maswali yote marahisi ila isipokuwa swali la 5 lilikuwa ngumu na sikujibu.
Mwanafunzi 1:kwani swali la 5 linasemaje?
Mwanafunzi 2:ilikuwa inauliza kuiweka neno'''NINAWAZA""katika mda ulipotita,basi niliwazaaaaaa,niliwazaaaaaa sana
mpaka sasa sijapata jibu.