Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Ndg zanguni wanajamvi, nilipotea kwa kipindi kirefu kidogo kutokana na majukumu yaliyokuwa nje ya uwezo wangu. Pamoja na ukweli kwamba bado sijayamaliza, nimekuwa nakosa mambo mengi sana mliyo yajadili kuanzia kipindi kile cha uchaguzi, baraza la mawaziri, kuibuka tena kwa sakata la DOWANS na sasa nguvu ya umma kuanzia kwa waarabu kuja huku....! Nimepitwa na mengi wala sijui nianzie wapi kwani kama vile nina msongo wa mawazo! Nianzie wapi???