Niliwamisi, acheni masihara...........!

Niliwamisi, acheni masihara...........!

Napenda kuwafahamisha kuwa mwezi hatimaye umeonekana. Ukiwa kaunta hapa Kingstar unauona live na mimba yake, kesho hamnakipingamizi tena..
 
Napenda kuwafahamisha kuwa mwezi hatimaye umeonekana. Ukiwa kaunta hapa Kingstar unauona live na mimba yake, kesho hamnakipingamizi tena..

Mzee mwenzangu acha kuwarusha watu roho,


Siku 30 si mchezo...waache wamalize masaa yaliyobaki salama!!
 
Mpaka dkk hii sijapata Mwaliko wa Eid ..hata Malaria sugu hatupi mwaliko jamani..
Nawatakia sikukuu njema wapendwa tukaribishane .
 
Kutokana na ugumu wa maisha na matatizo yanayotuandama, wananchi wameamua kuongeza siku za kufunga, had pale itakapotangazwa tena. Nawakilisha.
 
Mpaka dkk hii sijapata Mwaliko wa Eid ..hata Malaria sugu hatupi mwaliko jamani..<br />
Nawatakia sikukuu njema wapendwa tukaribishane .
<br />
<br />
soma tangazo eid imeahirishwa until futher notice.
 
Yeeeeiiiii umerudi....habari yafyo mbe???
 
ODM the 30 days umenisindikiza.... the buffet i will prepare and

the way i will arrange it - will be worth your while... And of course

sitasahua the desert you so like ya kule home... (naona nisitaje mfungo haujaisha)
 
Husninyo kapangiwa arenjid merieji na mkulima mwenzake hapa JF anakwenda kwa jina la salanga, wazee wamempa mkwala akimkataa salanga hakuna urithi! <br />
<br />
balaa!
<br />
<br />
dah! Ningesoma ulichokiandika ungenikoma leo. Ngoja niskip haka kapost kako.
 
Husninyo kapangiwa arenjid merieji na mkulima mwenzake hapa JF anakwenda kwa jina la salanga, wazee wamempa mkwala akimkataa salanga hakuna urithi! balaa!
Kamanda unafahamu spanish lady yuko kwangu sasa huyu Salanga ambaye hata TIN number hana ndio nani ? kubali matokeo mkuu.

<br />
<br />
dah! Ningesoma ulichokiandika ungenikoma leo. Ngoja niskip haka kapost kako.
That my girl.
 
Kamanda soma hii sredi mwanzo mpaka mwisho ! na kama una blood presha nakushauri usifungue, yaani salanga wa Mkulanga kachafua misheni yote aisee<br />
<br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/love-connect/163545-natamani-awe-rafiki-mshauri-wangu.html" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/love-connect/163545-natamani-awe-rafiki-mshauri-wangu.html</a>
<br />
<br />
hahahahaha! Uporoto bebii mambo? Achana na kloro mchonganish. Salanga alikuwa anafarijiwa asije akajinyonga.lol.
 
Kamanda soma hii sredi mwanzo mpaka mwisho ! na kama una blood presha nakushauri usifungue, yaani salanga wa Mkulanga kachafua misheni yote aisee

https://www.jamiiforums.com/love-connect/163545-natamani-awe-rafiki-mshauri-wangu.html
Nimeisoma mkuu sijaona cha ajabu ukiwa na kifaa cha nguvu lazima kila mtu atajaribu bahati yake lakini namwamini Hus atatengua mashuti yote aliwahi chezea Twiga stars kama golikipa.

<br />
<br />
hahahahaha! Uporoto bebii mambo? Achana na kloro mchonganish. Salanga alikuwa anafarijiwa asije akajinyonga.lol.
Unaruhusiwa kufanya mazoezi ya kuwaendeleza hawa vijana wadogo ili wapate stadi za kuwaingia kina dada,sijambo sweety.
 
Nimeisoma mkuu sijaona cha ajabu ukiwa na kifaa cha nguvu lazima kila mtu atajaribu bahati yake lakini namwamini Hus atatengua mashuti yote aliwahi chezea Twiga stars kama golikipa.<br />
<br />
Unaruhusiwa kufanya mazoezi ya kuwaendeleza hawa vijana wadogo ili wapate stadi za kuwaingia kina dada,sijambo sweety.
<br />
<br />
hahahaha! Kloro akisoma hapo lazma aombe ban kwa mchumba ake mod.
 
Back
Top Bottom