Niliwamisi, acheni masihara...........!

Niliwamisi, acheni masihara...........!

Kwakweli hata mimi sielewi nimejaribu kuchukua ile dikshenari ya Harvard nimetoka kapa

ha ha ha... PA... Tatizo umezoea tu Kiingereza Kigumu.... Hio Dictionary ya Harvardhapo kwa wasomi UDSM naona wanayo moja....lol... Umejaribu kamusi?? (Evidende.... Your last thread... BTW it was really educative)
 
Halafu ameni-PM ameniomba nimfuatilie kwenye TWITTER aisee huyu mzee kiboko lol!!!


Kama yupo Twitter... then naamini ile rumours yakusema kapata malimu anamfundisha kinyerere... Mbona tutakoma! lol.. at least Tweets ya kiutu uzima ingekua Face Book...
 
ha ha ha... PA... Tatizo umezoea tu Kiingereza Kigumu.... Hio Dictionary ya Harvardhapo kwa wasomi UDSM naona wanayo moja....lol... Umejaribu kamusi?? (Evidende.... Your last thread... BTW it was really educative)
Many thanks PA i am tryin lol!! Duh! Kamusi nyepesi sana haina lugha ya ODM ha ha ha
 
Halafu ameni-PM ameniomba nimfuatilie kwenye TWITTER aisee huyu mzee kiboko lol!!!

ha ha ha... PA... Tatizo umezoea tu Kiingereza Kigumu.... Hio Dictionary ya Harvardhapo kwa wasomi UDSM naona wanayo moja....lol... Umejaribu kamusi?? (Evidende.... Your last thread... BTW it was really educative)

Kama yupo Twitter... then naamini ile rumours yakusema kapata malimu anamfundisha kinyerere... Mbona tutakoma! lol.. at least Tweets ya kiutu uzima ingekua Face Book...

Many thanks PA i am tryin lol!! Duh! Kamusi nyepesi sana haina lugha ya ODM ha ha ha

Ha ha ha ndio maana ana followers karibia 1000

Yeah... Keep on keeping on... alafu hapa ODM akiamka... naomba tu usikimbie...loz... (thou naamini - huyu jamaa vitu vake sijui anatoa wapi?)

Hawa followers hawa... wengine naona picha tu...lol

ha ha ha... Hilo naweza amini for hii Ramadhani he was almost kama Islam... alinisindikiza all the steps.... ila jina hilo sijalipenda khaa!

Ngoja nimpe jina la RAHIM this one suits him the best lol!!!

Rahim is perfectoo.... inaendana kabisa na hako ka naughty kid on the Avatar....lolz
Mi nawaangalieni tu..... Nyie mchakachueni ODM......

I will be right back kwa ajili ya kumshughulikia huyu Dogo....... Anataka kunifarakanisha na my darling shem.
 
Back
Top Bottom