Wajukuu zako wako kwenye mikono salama ya babu ODM, usijali.Mhhhhh,
Siku kuu njema.
Ila mkumbuke kunirudishia wajukuu zangu wakiwa salama!!!
Khaaaa!karibu kwangu iddi lkn kama jasho la mtu laliwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nawe pia mkuu.....Wajukuu wako kwenye foleni, nataka nijichagulie mmoja mwenye bahati......Sikukuu njema babu.........umepata mjukuu wa kuspend nae kesho?? Au nikutafutie...
Hapo ndipo inabidi tuwahi.........vinginevyo tutatoka kapa.....Natumaini EWURA haitapandisha bei za:-
- vyumba
- nyama choma
- Mnyama
- Serengeti & Malt Guinness!
karibu kwangu iddi lkn kama jasho la mtu laliwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mzee mwenzangu, supu ya pweza siku ya Idd si kutafutana ubaya? watu wana kiu...............................Mhhhhh......
Acha IDD na iitwe IDD.....Yaani imekutoa mafichoni??
Karibu sana ndugu yangu...Huku kwetu Chuda kuna thupu za kila aina...Hata ya pweza ipo!!
Mhhhhh......
Acha IDD na iitwe IDD.....Yaani imekutoa mafichoni??
Karibu sana ndugu yangu...Huku kwetu Chuda kuna thupu za kila aina...Hata ya pweza ipo!!
Hivi Pearl, Nyagi ukachanganya na pweza siku ya Eid kinatokea nini?ah ah ah lol Babuuuuuuuuuuuuuuuu,pweza na nyagi eeeeeeeeeeeeeh?ah ah ah lol sawa nimekusikia nimekufikia ,IDD MUBARAK!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi Pearl, Nyagi ukachanganya na pweza siku ya Eid kinatokea nini?
Mwelimishe babu yako tafazali
Utaelewaje wakati mwezi mtukufu ulikuwa unafuturia geshti haushi............From Dar to Dar.
ah ah ah lol Babu!Nyagi ukichanganya na pweza cku ya idd,ukaweka na kile cha Arusha kibichiiiiiiiiiiiiiii,teketeke unafika pale mahala alipojificha Ankal Gadafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii