Niliwahi kupigwa na head girl assemble, sasa hivi anaolewa na mdogo wangu

Wakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.

🤣 🤣 🤣 mtahadharishe mdogo wako,
 
Wakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Hakikisha mdogo wako anampa za mbavu, karma is real and it is knocking at the footsteps zako mzee hakikisha anampasua amvunje meno hata mawili.
 
Wakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Dada wa shule aliyekuwa anakuzidi umri wewe iweje leo aolewe na mdogo wako hauoni utofauti wa makamo?

Ningelifurahi sana kwa maelezo yako ya thread kama ungelituambia umemuoa wewe kwa kuwa makamo yenu yanarandana halafu kisa hicho kingelinogesha sana penzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naonewa mkuu
Ulikuwa ndezi sana Drs la 5!! unapigwa na Demu?? hata makarama bin makeke tu!! hukuwanayo? haya basi jivunie japo mbio tu!! mpaka aje ageuze tako lake hilo weye unasubiri tu!! kule Musoma ukifanyiwa ivo utapigwa sana asee! unatengwa mtoto haramu!

zizini huingii!! ngombe hukamui mpaka ujitakase kwa kumuua simba Dume!! tena live! ole! wako sasa ulete simba mfu!! Muraaa!
 
Alikuwa headgirl, ulikuwa la tano, ulikuwa mtundu, alikuwa la saba
Tuanze apo sasa
Adi mschana anakuwa headgirl ina maana confidence yake iko juu, na ina maana ni mkubwa kiumri kulko average ya darasa, so kama la saba miaka hyo walikuwa na umri wa miaka 14 ina maana ye alikuwa 14 hyohyo au 15 na sio pungufu
Na we ulikuwa la tano mtundu, mtoto hawezi kuwa mtundu kama waliomzunguka ni wadogo sana kulko yeye, ko wewe ni either ulikuwa na umri wa average au umri wa chini zaid ya wenzako,

Ni mdogo wako kiaje, sijui ila mpaka umesema ni "mdogo wangu", ina maana ni tumbo moja vinginevyo ungesema dogo( high probability)
Kama ni tumbo moja na mama yko kazaa mapema baada ya kukuzaa bas umempita miaka 2, so dem kamzidi zaidi ya miaka minne au zaid

Kama jamaa anataka aoe basi kafika miaka 30, na dem ni zaidi ya 34, mbona kama kachagua asieendana nae asee au umetupiga fix tu ww
Rais wa ufaransa wa sasa Emmanuel mkewe kamzidi miaka sita hao hapo!
 
Alikuwa headgirl, ulikuwa la tano, ulikuwa mtundu, alikuwa la saba
Tuanze apo sasa
Adi mschana anakuwa headgirl ina maana confidence yake iko juu, na ina maana ni mkubwa kiumri kulko average ya darasa, so kama la saba miaka hyo walikuwa na umri wa miaka 14 ina maana ye alikuwa 14 hyohyo au 15 na sio pungufu
Na we ulikuwa la tano mtundu, mtoto hawezi kuwa mtundu kama waliomzunguka ni wadogo sana kulko yeye, ko wewe ni either ulikuwa na umri wa average au umri wa chini zaid ya wenzako,

Ni mdogo wako kiaje, sijui ila mpaka umesema ni "mdogo wangu", ina maana ni tumbo moja vinginevyo ungesema dogo( high probability)
Kama ni tumbo moja na mama yko kazaa mapema baada ya kukuzaa bas umempita miaka 2, so dem kamzidi zaidi ya miaka minne au zaid

Kama jamaa anataka aoe basi kafika miaka 30, na dem ni zaidi ya 34, mbona kama kachagua asieendana nae asee au umetupiga fix tu ww
Porojo zote hizi za vitu usivyo na uhakika navyo, muda unautoa wapi? Alichoeleza ni ama ukichukue au ukiache kama kikivyo.
 
Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.

Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.

Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Mwambie dogo akulipizie kisasi kwa kumchapa headgirl kibabe kwa upinde wa khanga..
 
Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.

Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.

Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Upo la 5 yeye la 7....afu kaolewa na mdogo wako... Khaaa
 
Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.

Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.

Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Shule zinafunguliwa lini?
 
Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.

Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.

Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Na yule ulimfata kwa inbox yake majuzibkati ulimsogezea ya picha au katuni?
 
Umepata shemeji haswa? Shemaji asiyependa shikwa shikwa kalio. Mzuri huyo.
 
Kwa hiyo mdogo wako amekuzidi kete?, maana km dada aliyekudunda wewe anaolewa na mdogo wako, Kiufupi ni kwamba mdogo wako ni mjanja kukuzidi.
 
Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.

Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.

Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.

Kwa haraka haraka, kama alikuwa 7 na wewe 5, alikuwa kubwa kwako kwa about 2 years, na kama anaoelewa na Dogo tu assume Dogo ni mdogo kwako kwa 2 years;
That is to say mke wa Dogo ni mkubwa kwa miaka 4 kwa dogo; mwambie atapigwa sana kisaikolojia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom