Cryptographer
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 376
- 730
Kama vile naona dogo anaenda kuwa bushoke forever
Wakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Hakikisha mdogo wako anampa za mbavu, karma is real and it is knocking at the footsteps zako mzee hakikisha anampasua amvunje meno hata mawili.Wakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Dada wa shule aliyekuwa anakuzidi umri wewe iweje leo aolewe na mdogo wako hauoni utofauti wa makamo?Wakati nasoma primary mkoa wa tanga dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu Cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake. Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi. Sasahivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Ulikuwa ndezi sana Drs la 5!! unapigwa na Demu?? hata makarama bin makeke tu!! hukuwanayo? haya basi jivunie japo mbio tu!! mpaka aje ageuze tako lake hilo weye unasubiri tu!! kule Musoma ukifanyiwa ivo utapigwa sana asee! unatengwa mtoto haramu!Naonewa mkuu
Rais wa ufaransa wa sasa Emmanuel mkewe kamzidi miaka sita hao hapo!Alikuwa headgirl, ulikuwa la tano, ulikuwa mtundu, alikuwa la saba
Tuanze apo sasa
Adi mschana anakuwa headgirl ina maana confidence yake iko juu, na ina maana ni mkubwa kiumri kulko average ya darasa, so kama la saba miaka hyo walikuwa na umri wa miaka 14 ina maana ye alikuwa 14 hyohyo au 15 na sio pungufu
Na we ulikuwa la tano mtundu, mtoto hawezi kuwa mtundu kama waliomzunguka ni wadogo sana kulko yeye, ko wewe ni either ulikuwa na umri wa average au umri wa chini zaid ya wenzako,
Ni mdogo wako kiaje, sijui ila mpaka umesema ni "mdogo wangu", ina maana ni tumbo moja vinginevyo ungesema dogo( high probability)
Kama ni tumbo moja na mama yko kazaa mapema baada ya kukuzaa bas umempita miaka 2, so dem kamzidi zaidi ya miaka minne au zaid
Kama jamaa anataka aoe basi kafika miaka 30, na dem ni zaidi ya 34, mbona kama kachagua asieendana nae asee au umetupiga fix tu ww
Porojo zote hizi za vitu usivyo na uhakika navyo, muda unautoa wapi? Alichoeleza ni ama ukichukue au ukiache kama kikivyo.Alikuwa headgirl, ulikuwa la tano, ulikuwa mtundu, alikuwa la saba
Tuanze apo sasa
Adi mschana anakuwa headgirl ina maana confidence yake iko juu, na ina maana ni mkubwa kiumri kulko average ya darasa, so kama la saba miaka hyo walikuwa na umri wa miaka 14 ina maana ye alikuwa 14 hyohyo au 15 na sio pungufu
Na we ulikuwa la tano mtundu, mtoto hawezi kuwa mtundu kama waliomzunguka ni wadogo sana kulko yeye, ko wewe ni either ulikuwa na umri wa average au umri wa chini zaid ya wenzako,
Ni mdogo wako kiaje, sijui ila mpaka umesema ni "mdogo wangu", ina maana ni tumbo moja vinginevyo ungesema dogo( high probability)
Kama ni tumbo moja na mama yko kazaa mapema baada ya kukuzaa bas umempita miaka 2, so dem kamzidi zaidi ya miaka minne au zaid
Kama jamaa anataka aoe basi kafika miaka 30, na dem ni zaidi ya 34, mbona kama kachagua asieendana nae asee au umetupiga fix tu ww
Mwambie dogo akulipizie kisasi kwa kumchapa headgirl kibabe kwa upinde wa khanga..Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.
Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.
Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Upo la 5 yeye la 7....afu kaolewa na mdogo wako... KhaaaWakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.
Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.
Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Shule zinafunguliwa lini?Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.
Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.
Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
Mbona hyo michache kamzidi mingi yule bibi ni above 60's hukoRais wa ufaransa wa sasa Emmanuel mkewe kamzidi miaka sita hao hapo!
Na yule ulimfata kwa inbox yake majuzibkati ulimsogezea ya picha au katuni?Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.
Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.
Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.
🤣Naona dogo kaamua kuoa sugar mamy. Heshima kwake
Sisi tunaiita SikariNaona chalii kaamua kuoa Mama Sukari
Wakati nasoma primary mkoa wa Tanga, dada mkuu wa shule aliwahi kunipiga yeye akiwa la Saba Mimi la tano. Kisa chenyewe kidoogo kiganja changu cha mkono wa kushoto kilipigana kikumbo na makalio yake.
Ilikuwa bahati mbaya Ila kwakuwa nilikuwa mtundu alidhani nimefanya makusudi.
Sasa hivi ni shemeji yangu anaolewa na mdogo wangu.