😂😂😂 huku mama hata akijua kama unaruka na mwanae haina shida, kikubwa mtoto mwenyew awe karidhia tu.
Mimi wakati naanza uhusiano na shemej yako wa huku (mzazi mwenzangu) kwa vile tunaishi nae distance kidogo, basi kuna muda mungine nilikuwa naenda kulala ukweni, na napiga mchi usiku mzima huku mama mkwe anasikia. Maana chumba cha bint na mama yake vilikuwa vimekamatana alafu vyote ni vyumba vya ndani.
Asubuhi utasikia "My son pliz dont disappointed my daughter cause she love you too much more than the way she love anybody here".
Mi namjibu "Don't worry mamaa, i promise you that i will be always there for her".
Nahisi vile vilio na manung'uniko ya usiku mzima vilikuwa vinampa wakati mgumu bimkubwa, ila aliona bora yeye avumilie ili mwanae aendelee kufaidi mikito 🤣🤣🤣.