kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 6,260
- 9,573
Ckuwa na chochote. ilikuwa ile miaka ya uenda wazim kuzamia. Nikapenya mpaka pale askari mmoja mzungu akaniuliza maswali flan akaniachia ile naanza kuingia askari mmoja mswahili akanistopisha ile kuniuliza baadhi ya mambo ckuwa na majibu japo nilikuwa na hela flan. Wakanikamata. Nikapikiwa kwenye gar nyumban. Kipindi hicho Harare ilikuwa safi Nairobi inasubiriKwanini uliishia mpakani na kurudi nyumbani mkuu?
