Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,118
- 27,937
Yaani hata mie nimeumia sanaJamaa ni lipumbavu kabisa. Yaani mtu aache shughuli zake ili kumfurahisha yeye.
Yaani hata mie nimeumia sanaJamaa ni lipumbavu kabisa. Yaani mtu aache shughuli zake ili kumfurahisha yeye.
Competence TransferSikuona umuhimu wa kuwabeba Umughaka na Mtatiro,naona hii show ilikuwa inamtosha JIPE tu au waliwachukua ili wazalishe kizazi kingine cha ujambazi
On the Job TrainingOmughaka na Mtatiro walitakiwa kuwepo pale kama sehemu yao ya mafunzo.
Striker Umughaka huoni ndiye alitoa vigae kuchukua pesa ilipofichwaSikuona umuhimu wa kuwabeba Umughaka na Mtatiro,naona hii show ilikuwa inamtosha JIPE tu au waliwachukua ili wazalishe kizazi kingine cha ujambazi
Kukimbilia Kenyaninachokisubiri hapa ni namna mwandishi alivyonusurika kifo baada ya mzee wake kumtimua nyumbani
Tumekubaliana hakuna jokes kwenye jambo la msiba!Hivi hujaona hapo chini ameandika jokes(akimaanisha anamtania)na akampa pole ya msiba,Muwe mnasoma mpaka mwisho.
Walishaenda kwa mganga kabla ya kwenda Arusha mkuuHuyu boss wao itakuwa alikuwa msomi yaani haamini kabisa mambo ya waganga,ingekuwa ni genge lingine la ujambaz lazima Umughaka na Mtatiro wangeoga dawa kwanza au wangepelekwa kwa Sangoma kuwekwa vizuri
Huyu boss wao itakuwa alikuwa msomi yaani haamini kabisa mambo ya waganga,ingekuwa ni genge lingine la ujambaz lazima Umughaka na Mtatiro wangeoga dawa kwanza au wangepelekwa kwa Sangoma kuwekwa vizuri
Umechanganya storyWalishapelekwa kwa mganga na kulima wakalima Bure, Kisha wakachanjwa
Mamlaka husika kamateni uyu atuoneshe na wengine lazima atakua ana wajua ata kama walisha okoka msha pata pa kuanzia .hamna hadithi kwenye uhalifu ova ;...
Mbona walienda usukumani! Msome vizuriHuyu boss wao itakuwa alikuwa msomi yaani haamini kabisa mambo ya waganga,ingekuwa ni genge lingine la ujambaz lazima Umughaka na Mtatiro wangeoga dawa kwanza au wangepelekwa kwa Sangoma kuwekwa vizuri
Au kuna epsode sjaisoma!Mbona walienda usukumani! Msome vizuri
Walikuwa field we vipi??Sikuona umuhimu wa kuwabeba Umughaka na Mtatiro,naona hii show ilikuwa inamtosha JIPE tu au waliwachukua ili wazalishe kizazi kingine cha ujambazi
We sio mfatiliaji wa hii storyHuyu boss wao itakuwa alikuwa msomi yaani haamini kabisa mambo ya waganga,ingekuwa ni genge lingine la ujambaz lazima Umughaka na Mtatiro wangeoga dawa kwanza au wangepelekwa kwa Sangoma kuwekwa vizuri