Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

Haya mambo ya unachukua kitu unalipa kidogo kidogo kwa nchi za wenzetu yamekuepo muda mkubwa mno.

Ni bongo yamesambaa hivi karibuni ila naweza sema uelewa wa mkopo na vitu kama finance literacy vinafanya watu waone utapeli.
 
Hyo ndio maana halisi ya MKOPO mkuu,,hata serikali Yako ya CCM nayo inakopeshwa pesa kdg ribaa mlimaa na wazunguuu ety na walaa hawalalamikiii...
walalamike wanalipa wao?
 
Nimefanya kazi kampuni anzilishi ya hii mikopo Tz. Kwa Samsung najua hapo utakua umekopa watu simu.

Mfano ungenunua simu kwenye kampuni niliyofanyia kazi riba ingekua ndogo kulinganisha na watu simu, riba ya watu simu ni kubwa kwakua ukipoteza simu ukaripoti unagewa nyingine.

Ushauri wangu kwa mtu anayetaka kuchukua simu ya mkopo. Jua muda wa malipo, jua bei halisi ya kifaa, jua riba, jua kama kuna benefits zozote kwa upande wako
kampuni gani nzuri nataka samsung s24 ultra
 
Back
Top Bottom