Nilivyoanza safari ya kuwa Youtuber 😀

Nilivyoanza safari ya kuwa Youtuber 😀

Asante
Kwa hiyo nitaweka account ya bank ili pesa ziingie huko?
Ishu ya account ya benki ni baadae kabisa baada ya kukubaliwa monetization kigezo 4000watch hours ndani ya siku 365 na ufikishe subs 1000:
 
Mkuu kwanza hongera sana kwa kuthubutu. Vipi huwa unatumia laptop au ni just mobile phone? Content zipi ndio una zideliver? Mana nasikia huwa hawataki ucopy sehemu yeyote ile is it true?
 
Mkuu kwanza hongera sana kwa kuthubutu. Vipi huwa unatumia laptop au ni just mobile phone? Content zipi ndio una zideliver? Mana nasikia huwa hawataki ucopy sehemu yeyote ile is it true?
Ni kweli kabisa youtube hawana utani kwenye copyright hata kidogo, Mi nafanya maudhui ya games na ninatumia simu kila kitu, Natumia Capcut, alight motion na kidogo Kinemaster. Thumbnails Canva na pixellab ziko poa kabisa kikubwa ni intanet ya uhakika tu. Ila ujuzi utajulia mbele ya safari kadri unavyozidi kwenda. 😅🙏
 
Ni kweli kabisa youtube hawana utani kwenye copyright hata kidogo, Mi nafanya maudhui ya games na ninatumia simu kila kitu, Natumia Capcut, alight motion na kidogo Kinemaster. Thumbnails Canva na pixellab ziko poa kabisa kikubwa ni intanet ya uhakika tu. Ila ujuzi utajulia mbele ya safari kadri unavyozidi kwenda. 😅🙏
Sawa mkuu umeni inspire nami kuanza hii kitu nikihitaji some guidance ntakurudia mkuu support yako ni muhimu au vipi
 
Back
Top Bottom