Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,087
Miezi kazaa imepita, nilikuwa Dar es salaam kwa mishe mishe; mida ya saa nne usiku baada ya kupata chakula na kinywaji nikawa 'bored' na mazingira ya hotel, nikaona sitendei haki chumba kile kuwa peke yangu, ndipo nilipochukua 'laptop' yangu nakuingia mtandao fulani wa 'dating', na kuanza kuangalia 'sample' zilizopo dunia hii.
Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta.
Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari.
Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.
Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta.
Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari.
Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.