Nilitegemea aseme medical attendant asifanye kazi ya Nurse na si kumzuia Nurse kuuza dawa

Nimegundua humu kuna watu wajinga kwa maana ya kutojua nao wanajadili kitaalam

Kwa hiyo daktari akiprescribe dawa ambayo iko contraindicated kwa huyo mgonjwa mfamasia atatoa tu kisa daktari kaandika?Hivi mnadhani mfamasia anasoma miaka minne huwa anasoma nini?

Dawa ni zaidi ya kuijua jina.Kuna taarifa nyingi sana kuhusu dawa ambazo anaezijua vema ni mfamasia

Daktari pia huomba ushauri kuhusu dawa kwa mfamasia na hii ndio maana wanatakiwa kufanya kazi kama timu
Ndugu yangu yaani humu jf kina vijitu vina jifanyaga vinajua mambo kumbe havijui lolote vimejaza ujinga kichwan.
 
Mama ehh

Mimi sijakuzuia kuwa pharmacist.. Kama ulikosa sifa somesha hata watoto wako wawe

Kila mtu apambane na hali yake

Siku njema
Unaona ulivyo yaani unajaribu kufosi unavyovifikiria wewe ndio viwe nimevisema mimi

Jadili mada acha kupambana na mtu

Mnyonge hadi ghorofani
 
Ni maajabu makubwa kumzuia nurse asi dispense madawa kwenye maduka ya madawa wakati mahospitalini manesi ndio huwagawia wagonjwa wote dawa kama jinsi zilivyoandikwa na clinician.

Basi ni hivi kama manesi hawahusiki na madawa basi hao mapharmasia wawe mawodini wanawapa wagonjwa dawa alafu kazi ya nurse iwe kukaa tu kustarehe mahodini maana kama ni maswala ya usafi wapo ma medical attendant hivyo kumbe nurse kwa TZ hana kazi ya kufanya.

Kweli hii nchi haiishi vituko. Eti nurse na waganga hawana ruhusa ya kumpa mtu dawa kwenye maduka lakini mtu aliyetokea mtaani akaenda fundishwa na mapharmasia kwa muda wa mwezi mmoja eti anamamlaka ya kutoa dawa, anapewa cheti na na koti la TFDA hiki ni kituko.

Alafu nyinyi mapharmasia msijifanye wajuaji sana hata nyinyi hamna mamlaka ya kuwaandikia wagonjwa dawa, mwenye mamlaka hayo ni mganga wala nyinyi hamna jeuri ya kumpangia mganga aandike dawa ipi na dozi gani kwa mgonjwa lakini kwenye maduka yenu mnamazoea ya kuwapa wagonjwa madawa pila kuwa na prescription ya kutoka kwa mganga hilo ni kosa la jinai.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa
 
Hapa mm sioni tatizo. Waziri alichokisema nakiunga mkono asilimia mia. Kwanza wanawatesa sana nurses kwa kuwatumia kwenye maduka ya dawa ya hospital wakati wodi za wazazi hazina manurse wakutokosha. Hii iwe ni sawa kwa isivyowezekana nurse kukaa kwenye chumba cha daktari na kumsikiliza mgonjwa. Nurse afanye kazi za unurse na pharmasia afanye kazi yake.
Ukienda hospitali kubwa huwezi kuta nurse anagawa dawa pharmacy, hiyo ipo kwenye vituo vya afya na hospitali za serikali ni matokeo ya serikali kutoajili staff wa kutosha
 
Guys clinical pharmacology inasomwa na MD NA NURSES darasa moja kwa pamoja.kwa hiyo ...na hata mafamasia wanachosoma clinical pharmacology ni somo .na hiyo ndo inahusu TIBA .wauguzi wamenyaswa na kudharaulika kwa mda mrefu sana...sasaa hivi hi profession entry POINTSni sawa na fani zote za afya eg ESPECIALY MD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona wengi wetu tunakwepa hoja ya msingi hapa.

1/Kwa mfano, tujiulize maswali haya..
Kwanini katazo hilo linawahusu Nesi tu, na sio watumishi wote wa Afya wasio wafamasia?

2/Inakuwaje kwa nesi aliyejiendeza kwa kusomea kutoa dawa?

3/Karibu asilimia 100 ya zahanati za serikali hazina wafamasia, huko nani anatoa dawa kwa wagonjwa?
 
Nimegundua humu kuna watu wajinga kwa maana ya kutojua nao wanajadili kitaalam

Kwa hiyo daktari akiprescribe dawa ambayo iko contraindicated kwa huyo mgonjwa mfamasia atatoa tu kisa daktari kaandika?Hivi mnadhani mfamasia anasoma miaka minne huwa anasoma nini?

Dawa ni zaidi ya kuijua jina.Kuna taarifa nyingi sana kuhusu dawa ambazo anaezijua vema ni mfamasia

Daktari pia huomba ushauri kuhusu dawa kwa mfamasia na hii ndio maana wanatakiwa kufanya kazi kama timu
Daktari anayeprescribe dawa ambayo iko contraindicated si daktari makini, pamoja na hayo nurses na doctors ndo walio karibu sana na wagonjwa hivyo wako na exposure na medical cases nyingi. Ninavyojua pharmacy inatakiwa kusimamiwa na mfamasia na kwa hilo nnaunga mkono kwani tukiruhusu manesi na madokta waendeshe pharmacy, pharmacists watakula wapi? Lakini tukija kwenye upande wa viduka vyetu vya dawa muhimu mimi sioni shida kwa nurse kuuza. Hata hivyo kuna nurses na doctors wanamiliki pharmacy lakini wameajiri pharmacists kusimamia
 
Nakubaliana na mtoa mada,, japo ni kweli tuheshim kazi ya famasia na haipaswi kuingiliwa na manesi,, lakini tukumbuke ni manesi haohao ndo wanaodispense dawa mawodini tena ambako kuna critical patients,, Kwa mtazamo wangu hoja ya msingi ni nini cha hatari zaid ili kipewe uzito na kuongelewa kwa sasa??,, je ni manesi kugawa dawa kwenye mafamasi au attendant kufanya kazi za nesi??...
 
Nakubaliana na mtoa mada,, japo ni kweli tuheshim kazi ya famasia na haipaswi kuingiliwa na manesi,, lakini tukumbuke ni manesi haohao ndo wanaodispense dawa mawodini tena ambako kuna critical patients,, Kwa mtazamo wangu hoja ya msingi ni nini cha hatari zaid ili kipewe uzito na kuongelewa kwa sasa??,, je ni manesi kugawa dawa kwenye mafamasi au attendant kufanya kazi za nesi??...
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Naona hoja zenu shilawadu nitakuja baadae na vifungu vya sheria vinasemaje.
 
Tatizo kila kitu mnakariri hamtaki kujifikirisha sasa "Can u elaborate the essence of semesters in various courses ,,,,,,,"? halaf na mm nitakwambia nimesoma kozi gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi umejiuliza kuwa kwa nini mfamasia asome pharmacology kwa muda zaidi ya nurse? Halafu sasa unadai eti wafanye kazi inayofanana?
There is something wrong in your brain, think twice before reasoning.
Jiulize pia kwa nini mfamasia anadeal na dawa kwa undani zaidi, sio kwa juju kama nurse.
 
Bado hueleweki

Hapa halizungumziwi suala la kukosea prescription

Ficha uzwazwa wako
Waziri yuko sahihi kutoa hilo tamko na wala hajakurupuka kama tulivyozoa kama kawaida zao.

Sasa tunaelimisha kwa undani ufanisi wa hiyo kazi ili yuone kama kweli nurse anaweza kuuza dawa kwa asilimia kubwa kama ilivyo kwa mfamasia ambaye ndio fani yake.
 
Guys clinical pharmacology inasomwa na MD NA NURSES darasa moja kwa pamoja.kwa hiyo ...na hata mafamasia wanachosoma clinical pharmacology ni somo .na hiyo ndo inahusu TIBA .wauguzi wamenyaswa na kudharaulika kwa mda mrefu sana...sasaa hivi hi profession entry POINTSni sawa na fani zote za afya eg ESPECIALY MD

Sent using Jamii Forums mobile app
Je, nurse aruhusiwe auze dawa kama mfamasia kwenye maduka ya dawa(pharmacy)? Kama ndio kwa nini? Kama hapana kwa nini?
 
Back
Top Bottom