Nilitegemea aseme medical attendant asifanye kazi ya Nurse na si kumzuia Nurse kuuza dawa

Hayo tuachieni tuuze tusiuze haiwahusu wagonjwa vidonda vinaoza huko surgical wards mmeng'ang'ania pharmacy muda umefika sasa mrudi wodin mkadress wounds achaneni na pharmacy
Mbona pharmacy ni zenu siku zote. Shida inakuja pale hata kwenye viduka vya dawa muhimu mnataka mtufukuze! Na siku nyingine mtakuja muwazuie nurses wasigawe dawa wodini! Swali langu ni Je, tofauti kati ya progress na prognosis ya ugonjwa kwa mgonjwa aliyeko wodini na yule anayenunua dawa pharmacy ni ipi?
Kwa nini wafamasia mnashadadia kuuza dawa tu mkijinasibu mmezisoma sana( hilo ni kweli japo yanasahaulika) lakini mbona bado mgonjwa tukiwa nae wodini nurse ndo hugawa dawa hizo hizo zilizotoka pharmacy. Nasubiri siku mje mseme kugawa dawa wodini si kazi ya Nurse bali ni mfamasia
 
Back
Top Bottom