Nilitaka kumuua mke na mtoto wa 'my best friend' kwa risasi!

Mjeda Husije Mpaka Saa 6 Usiku, Maana Wengine Mda Huo Tunakuwa Hatuna La Kufanya!
 
Kwa kipande kilichobaki naomba nikigawe mara 2 wakuu!

Du ina maana tunakesha tena leo na wewe hapo lindoni mkariii afande wangu.
Huyo aliyekuPM kuwa atakupa Mfadhili usisahau hata kutoa Like Given maana ipo 0 hii ya kukupa Reputation (Sifa) 350 zikiwa zaidi ya ulizoPost huenda zote ni sifa kubwa kwako na Jamii Forums tunakukubali hivyo malizia basi tukalale

Join Date : 17th December 2012
Posts : 236

Rep Power : 350

Likes Received 89

Likes Given 0
 
Kwa kipande kilichobaki naomba nikigawe mara 2 wakuu!

Nafurahi nilichokuwa nakiwaza naona ndo kinachotokea...nilihisi tu kwamba kuwa stori itagawanywa tena na naisi baada ya mgao huu kutakuwa na vijisehemu vingine vidogo vidogo ndani ya hivyo vikubwa ambavyo navyo vitakuwa na vijisehemu vyake...chezea mjeda wewe..full kutuwekea super glue..full kuganda kwenye thread yake..no ku-move. Big us sana mkuu.

NB: Ukipata mfadhili, katika ile 20% ya vituo vya kulea watoto mayatima, usije nisahau, nami ninacho kituo cha mayatima, nasubiri mgao huo najua wafadhili watapatikana tuu.
 
Duh muraa nimejaribu kusoma kimya kimya hii fairy tale yako bila kutia neno, lakini mh! Iv itaisha lini? Naisubiri hiyo part ya mwisho, tutakaa lindo pamoja leo...
 
Naona kamanda kama kawa kama dawa unazidi kutuweka tu! Ahahahahaaaaaa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hii kweli ni story ya kufungulia mwaka.iwe ya ukweli au ya kutungwa ila inahuzunisha,inachekesha na ina mafunzo fulani
 
40:Ilipita miaka 3 tangu ma sister WITNESS aachane na ukahaba huku akiwa ni muathilika wa HIV na sasa ni mfanya biashara wa viatu vya kike kiume,na tayari nilishawaunganisha na mumewe ili waendele kuwasiliana maana tayari walikua na watoto2.

Nikiwa ktk viunga vya jiji la Arusha nikilandalanda mitaani mara nilisika text msg ikiingia kunako simu yangu.
Kwasababu nilikua busy sikushughulishwa na msg hii maana niliona kwamba kama mtumaji alikua na shida ya haraka basi angenipigia.Niliamua kuendelea na ratiba zangu kwa matarajio ya kuisoma text hiyo in next few mins.
Baada ya dk kama 10 mara simu yangu ikaita,kuitwa nikakuta sister WIT,nilifurahi maana ni muda takribani 3weeks tangu nionane nae,aliniambia kwamba anazawadi yangu nzuri sana kwani nilimtoa shimoni na nikamkopesha mtaji na kwamba ingawa ameshanirudishia pesa niliyomkopesha lakini sasa nae ameamua kunifanyia surprise.......nilitamani kujua ni nini hiyo lakini akaniambia nisiwe na wasiwasi.

Aliniahaidi kwamba yuko Dar aliendea mzigo wa viatu vya wateja wake kwa ajiri ya sikukuu xmas na new year na angekua Arusha in next two days.

Siku ya siku iliwadia na alipofika maeneo ya MOMBO(LIVERPOOL HOTEL)alinipigia simu na kuniambia kwa yuko eneo husika akipata chai na amepanda NGORIKA,alinisisitiza nimsubili MIANZINI maana atashukia hapo becouse anakwenda SAKINA kupeleka mzigo,nilimuuliza exactly time akaniambia saa10 jioni.
Nilimuambia asiwe na khofu ntamsubili maana zawadi aliyoniahidi ilishaanza kunichanganya.

Ilikua ni miezi ya mvua mvua kwa wakati huo lakini nilitwa mwamvuli na kuwahi mianzini.

Zilipita NGORIKA takribani 3 lakini WITNESS hakushuka na simu yake tangu saa9 ilikua haipatikani.
Nilipiga moyo konde nikaendelea kumsubili lakini hadithi ilibaki pale pale kwamba hashuki MIANZINI na simu yake haipatikani.
Niliendelea kusubili mpaka saa 2 usiku lakini NGORIKA zilizidi kupitiliza na zilizosimama WIT hakushuka,baadae niliona labda kwa sababu kuna mvua ndio maana kapitiliza kwenda kushukia stand.

Niliamua kurudi nyumbani kwangu kwa matarajio kwamba kama wamepata break down au kama simu imeisha chaji basi atanipigia ata morning.

Majira ya saa4 usiku nikiwa nyumbani kwangu nimelala mara simu ikaita,nilipoichungulia nikakuta ni ma lovely sister WIT akinipigia,nilijifanya kususa kupokea simu maana alisha niudhi kwa kuniweka MIANZINI muda mrefu,lakini still bado aliendelea kupiga simu.

Baada ya muda wife aliamua kuipokea na akaweka loudspeaker..

Nilijiamini maana na wala sikua na shaka yoyote bcoz sasa alikua ni kama my sister/shemeji.Cha ajabu ni sauti ya kiume ndio ilikua ikitokea upande wa2,nilipata shauku ya kujua ni nani maana ma sister hakuwahi kuniambia kama ana mtu maana aliniambia sasa ameshaachana na mambo ya zina na alikua akisubili kupata mchumba mwenye hali kama yake ili waoane.

Huyu bwana alitaka kuongea na mimi,sikua na hajizi nilimsikiliza.

Alikua akiongea kwa upole na heshima ya hali ya juu.

Aliniuliza kama namfahamu mwenye simu hiyo na ni nani yangu.
Niliamua kumjibu jeuri maana tayari wivu ulishaniingia,nilimwambia kwamba ni demu wangu,jee wewe ni nani?
Akaniambia yeye ni dr MOUNT MERU HOSPITAL nakuomba njoo hapa hospital fasta,nilitaka kujua what's wrong?
Akaniambia wewe njoo fasta,nikambambia kama kapata matatizo wampe huduma mie niko jirani naku ingawa kiukweli nilikua PHILIPS.Nilitwaa nguo fasta na jacket kisha nikatoka ndani mkuku huku wife akinishangaa.

Nilitimua mbio mpaka barabarani na kwa bahati nzuri nilikuta kuna tax imepaki eneo hilo nilimwambia anikimbize fasta mount MERU HOSPITAL nae akatii mwananaume akanyoosha goti kuelekea Hospital..
Jee nini kimempata witness???

I will be back................
 
Huyu ex-Afande Bwana Chai Chungu anatakiwa apewe zawadi ya kuweza kutukamata vichwa sote kwa masaa yote haya ya kufuatilia thread yake!!!!!

Kama ni gwaride, jamaa katupigisha BONGE LA KWATA!!!! Afande I salute YOU BIG TIME
 
Kupitia kwenye hii thread ndo nimejua kweli Watanzania kwa asilimia kubwa tuna 'stress'..yaani tunakosa tu wapi pa kuziondolea hizi stress...vikipatikana vi'stori' na 'fictions' kama hivi tunashukuru kweli...Mfano ukiangalia hata hii 'tamthilia' yaani haina lolote la maana..lakini kubanduka sasa hapa..mwe!..Mwenyezi Mungu atusaidie tu lakini hali ni mbaya kwa kweli!
 
Jaman hii ni dhambi mjeda,watu tutaachika leo, toka jana wife anataka haki yake lakini kitu kinagoma kwa sabab ya stor yako, malizia basiiii?
 
Back
Top Bottom