miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Wewe nawe mkorofi!! Subiri ..
Hapana mkuu mi.si mkorofi nataka kujua kama alishawahi kutana na mwanamke wa hivyo ..
Wewe nawe mkorofi!! Subiri ..
kwahiyo umenimention na mimi ni mwanamke siyo?
Hayo maneno mengine nayaacha kwa sasa lakini hapa kidogo pamenistua
Ni kitu gani kimekufanya useme "na nyie wanawake wengine inawatokea"?
Unadhani binadamu ambae yupo sawa anatokwa na haja kubwa wakati wa tendo?
Kama unajua kuwa hatokwi ni kwanini umewauliza wanawake wengine?
Kwanini usingeuliza hilo tatizo linasababishwa na nini?
Mambo ya kungoja ndoa hayo ubwegge tu, wakati we unangoja wenzio wana slide in tena
wanaruka ukuta
toa uzoefu wako umeshawahi kutana na hiyo hali?
Wewe nawe mkorofi!! Subiri ..
kwa kweli hiyo hali sijawahi iskia ni mara ya kwanza
nafkiri ni makosa tu ya namna ya uwasilishwaji wa swalio kaka
toa uzoefu wako umeshawahi kutana na hiyo hali?
whatever the case mambo yangu ya faragha na my number one lara 1 hayana nafasi kwenye public.
we only share life experience na namna ya kuhandle relationship that's it, am too old for this.
whatever the case mambo yangu ya faragha na my number one lara 1 hayana nafasi kwenye public.
we only share life experience na namna ya kuhandle relationship that's it, am too old for this.
Mkuu 7 5mm wewe si ndo umemzimikia Vaislay hivi karibuni? Umeshamtonya yaliyokukuta hapo zama za kale?