Nilishangazwa sana na huyu mwanamke

Nilishangazwa sana na huyu mwanamke

Yani mwanamke akinga'ng'ana eti mpaka ndoa,sio bure kuna tatizo,ungeoa huyo sasa ingekuaje,watu wamemtigolize mpka nya zinajitokea lol! shake well b4 use ina umuhimu ohoooo!
 
Swali jingine kwani wanawake wanairukwa ukuta ni lazima kitu kitoke katikati ya shughuli, hiyo naisikiaga kwa wanaume wenye mashine ya haja
 
dah pole sn, inauma sana aiseeee, inawezekana kabisa wajanja washamvunja marinda!!salaleeeeee. kaa naye tu mwambie ukweli kwa yale yote unayomuwazia then mckilize atasemaje!
 
Hawezi akawa hajui huyo,na wewe ukaridhika na kuomba tena game? au ulijua ndo umekuna mpaka haja imetoka? Kaa naye umuullize vizuri kama anatatzo kiafya mkamuone daktari
 
Aisee pole...haiwezekani kuwa hajui tatizo lake,analijua saana.Labda ndo mana alikua hatak mpaka ndoa(anaficha aibu)

Mimi sio tabibu ila si kawaida kutokwa na haja,lazima kuna hitilafu..

Afadhali uliligundua hilo mapema
Kama mshaachana basi haina haja tena,pole

ashukuru alishiriki sherehe kwayo, vinginevyo angeoa tatizo....watu wamejikatia marinda zzamaani!
 
Atakua anapata kifiro huyooo ndio maana anajinye...........
 
aiseee.. muhimu sana kufanya testing kabla ya ndoa ....
 
Back
Top Bottom