Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,081
Nimeshaandika mara nyingi sana kuhusu jeshi la polisi, sitaki kukaa kimya eti kwasababu watatutisha ila ukweli lazima usemwe. Jeshi letu liachane na mambo ya siasa, waheshimu kazi zao, wasitumike kwa maslahi ya watu au chama fulani cha kisiasa huku wakijitapa kuwa wako imara.
Wawalinde wananchi na mali zao na ningependa kuona wale ambao waliahaidiwa vyeo kwa kukamilisha mipango fulani basi huu ndio msimu wao, wasipopandishwa hivyo vyeo basi wajue kuwa walitusaliti nasi siku inakuja watatukumbuka.
Wawalinde wananchi na mali zao na ningependa kuona wale ambao waliahaidiwa vyeo kwa kukamilisha mipango fulani basi huu ndio msimu wao, wasipopandishwa hivyo vyeo basi wajue kuwa walitusaliti nasi siku inakuja watatukumbuka.