Nilisema kabla

Nilisema kabla

kwani umeambiwa dushe ni za kuokota?
Nazo zinahitaj kugharamiwa!

hahaa umenichekesha sana mkuu..et kwani dushe ni za kuokota !! .af nikiangalia hio avatar yako ndio kabisa napata picha ulikua umeweka vp sura yako ulivyokua unaandika hio comment
 
Mnao ogopa majukumu jiungeni haina garama (CHAPUTA) chama cha wapiga punyet* Tanzania
 
Mnao ogopa majukumu jiungeni (CHAPUTA) chama cha wapiga punyet* Tanzania
 
mi huwa nawakumbusha mara nyingi hapa, kuwa wanaume tunanyanyasika kwa kujitakia bure!
Sio haki hata kidogo, wataalam wanathibitisha kuwa...ktk sex anaepata utam mnoo... ni jinsia ke, lakin hapohapo muwajibikaji wa kila kitu mpaka gharama ya uwanja mara nyingi mzigo wote ni kwa mwanaume
jamani huu ni uonevu....ni uonevu huu.......tena wa kujitakia!

Mateso bila chuki mkuu
 
Duuh mi sijui,wasichana mje huku,mi si msichana ni mwanamke mama wa watoto wawili,mke wa mtu,
 
Mleta mada umeona tarehe zimekaribia unakunja sura ili usiombwe hela? Kutoa ni moyo.
 
Na sasa nalisema tena. Msichana yeyote anayefikiria, ni jukumu la Boyfreind kumpa pesa anaitajika kuchekiwa akili kama yupo timamu ama laa. Je Boyfreind ni baba yako? Mume wako?

Tumieni akili wasichana.
Mkishatoka hospital kajifunze kiswahili hakuna neno anaitajika ni anahitajika
 
Mleta mada nadhani wewe ndo uwe unatumia akili ukiwa unaleta mada hapa jukwaani
 
jamani hivi hao wadada wanaowakamua hivyo mnawapata wapi?We tafuta mmama wa miaka 50 and above utapenda!hawana gharama,wanakupenda kiukweli na ni wajuzi mno. we unaaangaiaka na walevi wa fashen lazima mifuko itoboke.
 
Wengine wanaomba kama wanadai deni. Nusa saa sms ya kukumbusha, nusa saa tena nyingine

..................
Umejuaje, dawa yao kukausha mkuu, txt hujb na akipiga simu hupokei then utaona kimyaa mwenyewe, mwanamke anaekupenda hakuombi ombi hela bla 7bu maalumu,
 
Na sasa nalisema tena. Msichana yeyote anayefikiria, ni jukumu la Boyfreind kumpa pesa anaitajika kuchekiwa akili kama yupo timamu ama laa. Je Boyfreind ni baba yako? Mume wako?

Tumieni akili wasichana.

true love is expressed thru giving, and in giving you should give what u cherish the most. Wanaume wanacherish mapene, na wadichana wanacherish their womanhood.
 
If u expect 2get good product ni lazima ugaramike brotherz no way out n con km kunatatizo hapo cha mcng ucng'ang'anie mizigo ambayo co saiz yako lazima utaon unaonew......!!! Ila mtoto wa kike anapend kupew...

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom