BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Enyi wanaume kwa nini mnalialia
Si mtumie giv and revola tu
Si mtumie giv and revola tu
kwani umeambiwa dushe ni za kuokota?
Nazo zinahitaj kugharamiwa!
Na mvuluana yeyote kumuomba papuchi girlfriend anatakiwa akchekiwe akili huyo mvulana, girlfriend sio mke wako wala mama yako, Tuwacheni Tulale
Wanaume mnaboa kitu kimoja, kama pesa ilikua mfukoni mwako, je uliwekewa bastola kichwani ili uitoe kwa nguvu???
Acheni kupotezea wanawake muda kwa weakness zenu wenyewe.
Na kijana anayetegemea papuchi kwa bint ambaye Si mkewe naye akapimwe akili pia.Na sasa nalisema tena. Msichana yeyote anayefikiria, ni jukumu la Boyfreind kumpa pesa anaitajika kuchekiwa akili kama yupo timamu ama laa. Je Boyfreind ni baba yako? Mume wako?
Tumieni akili wasichana.
Kaka, na wewe unapomfuata, unamfuata kama mama yako, au dada yako? Maana nikiuliza kama mkeo, lazima mke ahudumiwe. Mnatutia aibu sana watu wa aina yako. Mnataka muwe vichwa ndani ya mahusianano/nyumba huku mnakwepa majukumu. Tafakari sana kauli yako hiyoNa sasa nalisema tena. Msichana yeyote anayefikiria, ni jukumu la Boyfreind kumpa pesa anaitajika kuchekiwa akili kama yupo timamu ama laa. Je Boyfreind ni baba yako? Mume wako?
Tumieni akili wasichana.
Hawajui wanataka nini utahonga kila kitu na bado utamegewa.
@Majigo naoma mleta mada kakufikisha
Ahahaha wambie wanajua ipo kwaajili ya kutoa huduma tu, alafu tena bado tuilipie
Wengine wanaomba kama wanadai deni. Nusa saa sms ya kukumbusha, nusa saa tena nyingine
hahahahaaaa msandawe halisi hizo ni swaga tu ndugu yangu....! Huwa tukikolezwa tunatoa bila kuombwa tena tunatoa na ziadaNa sasa nalisema tena. Msichana yeyote anayefikiria, ni jukumu la Boyfreind kumpa pesa anaitajika kuchekiwa akili kama yupo timamu ama laa. Je Boyfreind ni baba yako? Mume wako?
Tumieni akili wasichana.
Usipohonga ukimegewa usilalamike tulia kimya!kwahyo wewe unajisikia raha kumsifia mwanamke wako amependza mara ooh unanukia vizuri mara baby nguo yako nzuri,unazani hzo pesa anaokota?ukitaka asiyekuomba pesa katafute wakuja nayd akishaujua mji imekula kwako