Niliroga sana

Vipi kanisa lako unafungua lini
 
Asante kwa hii elimu dunia. Ubarikiwe.
 
Hivi ushirikina na uchawi ni mambo ambayo kweli yapo?
Je kuna faida gani ulipata au wanapata washirika?
Je ushirikina una mipaka, kwa nini mchawi asiroge apate mafanikio, mfano kwa nini wachawi na waganga wasiroge wale wote waliohusika na vifo vya october 29, 25 wakashughurikiwa??
Kwa nini wanaotuhumiwa kupoteza watu wasirogwe??
Kwa nini wachawi wasiroge wote wanaozuia katiba mpya??
JE UCHAWI NA UGANGA UNAMIPAKA??
 
Wewe, Mshana Jr , hujaroga ukauona utamu wa kuumba! ... sanasana ulisoma somo linaloitwa 'WITCHCRAFT' AU 'VOODOO' na ABC za kuvunja nazi na kuchoma midoli sindano! You lack the AURA of a WITCH!
FIELD WORK ZERO! πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…