Madenge Origino
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,847
- 1,095
Baada ya uchaguzi tunaanza na wewe kwanza msemaji wa hao Mafisadi. Hio kujifanya anonymous haitokusaidia. Baada ya oktoba 28 najua tutakutoa chini ya mtaro kama vile alivyotolewa Sadam kule Iraq.Ninajua hizi thread zitaisha baada ya Uchaguzi Mkuu!
Mtarudi hapa na kuanza kuwatukana watanzania kuwa wajinga kwa kumchagua tena Rais Magufuli!