Hujui ukisemacho, rudia kusoma tena nilichoandikaHata Lissu angekuwa Rais asingeweza kukupa pesa ili uwe tajiri. Kwa taarifa yako, masikini hawatakaa waishe duniani, na kila taifa linao. Umaskini ni function of mind. Lazima uwe na macho ya fikra ili kuona opportunities, na matumizi bora ya opportunities ndio hutupa utajiri. Wengi wamekwama coz muda mwingi hulalamika tu, na kuilaumu Serikali haitasaidia.
Amechota hela kwa WaTz masikini na kuwapelekea mabeberu tena CashAme nunua ndege kumi na moja, nani amefaidika hapo? Mabeberu watengeneza ndege au maskini Mtanzania ambaye hawezi hata kupanda hiyo ndege?
Magufuli yuko sahihi, wabunge wengi wa Mbowe wana tabia kama ya Mbowe kutafuna hela za mifuko ya jimbo. Chama cha mfukoni hiki lazima wakae Oct 28.Magufuli ni psychopath...hafai kuchaguliwa tena...mtu ana roho ya kishetani kama nn bana.
Mara leo maendeleo hayana chama,kesho msipomchagua mbunge wa CCM siwaletei maendeleo...kwa mtu timamu hawezi ongea kauli zenye kujipinga zenyewe kwa zenyewe.
Chama cha Mbowe, hakihitaji dola. Mtoeni mwenyekiti pale muwe na uhuru na maendeleo. Mbowe tu kawashinda, CCM mtaiweza wapi.?Kishindo cha miaka 59 katika Dola
Huoni kuwa Mbowe kuwashinda wafuasi wa CHADEMA ni faida kwa CCM? Kama Mbowe kawa Mwenyekiti kwa muda mrefu na chini ya uongozi wake ameshindwa kuitoa CCM madarakani, huoni kuwa ni faida kwa CCM?Chama cha Mbowe, hakihitaji dola. Mtoeni mwenyekiti pale muwe na uhuru na maendeleo. Mbowe tu kawashinda, CCM mtaiweza wapi.?
Huelewi watawala wa Afrika, Rais anakuwa na washauri 100 lakini badala ya kumshauri yeye ndiye anawashauri.Na kwa nini wasaidizi wake hawamwambii, maana kuna mengine yapo wazi kabisa.
Mfano huongezi salary, unapandisha makato ya HESLB, kweli?!
Pale mtakapojikuta mmeruka jivuWatumishi wa Umma Tuna jambo letu tarh. 28 October. Huku maofisini ni kusikiliza tu video Clips za Hotuba za Lissu, siyo Wakurugenzi siyo watumishi wa kawaida, Sote tunapasiana clips tu yan