IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,447
- 2,285
Ishu ipo ivi katika pita pita zangu na kuchungulia ile app ya Ali express, ambayo ninayo kwenye simu hua naangalia kuna bidhaa gani mpya ambayo naweza nunua kwa matumuzi yangu binafsi?
Bana nikakutana na bidhaa mpya ambayo ni flash drive ya ((2tb)),
tala bite mbili ambazo sawa na gb elfu 2 kama sijakosea na kama nimekosea mtanirekebisha.
Nikaona haaa hua na nunua flash za gb 16,32,64 128 n.k sasa huu mzigo wa tala bite 2 ndio funga kazi nikajua movie sasa zitanikoma ni kumove tu bila kuangalia muv ina gb ngapi ni mpera mpera tu hii mkataba.
nikacheki je ni original au feki
Au nimuulize Chief-Mkwawa nikachek reviews za wanunuaji naona zinasifiwa wamekuta 1.90 tb ukitoa 10 za file nikamuuliza jamaa yangu mmoja akasema hii og tuagize
tena tuagize nyingi bei ef7 tu.
Alafu uku tunakuja kuuza ef 20+ faida kubwa.
Nikawa nafanya mpango wa kuondoa deni la songesha mpesa ili niweke pesa kwenye mpesa master card yangu nilipie bidhaa.
Basi bana nikaingia kwenye item description nikasoma kwa makini mhm nikagundua kitu kwamba hii ngoma ni 2tb ambazo ni gb elf 2 lakini pale wameandika 32gb upgraded to 2 tb na inachukua file za ukubwa huo wa 32 gb baada ya hapo file zitakazo ongezeka azionekani
eheee ndio ishu yenyewe ikabidi niache kwa upande wangu nikaona akuna cha maana bora nichukue flash ya kawaida kuliko hii aipo standard file zingne nisizione ili kiwe nini.
Wakuu ambao tuna nunua vitu
Ali express ,sijui eBay, amazon, bangood pia (kikuu) hii sijawi agizia
Tuwe makini sometimes tunalalamika fake kumbe kuto kusoma bidhaa ipoje na ina mahitaji yepi
Mwishoni
Nikaingia kwenye questions and answers nikakuta wanunuaji ambao tayari wamesha nunua na kutumia wanalalamika full malalamiko mpaka nilicheka moja ya comment ya mdau iliniacha hoi sana
Bana nikakutana na bidhaa mpya ambayo ni flash drive ya ((2tb)),
tala bite mbili ambazo sawa na gb elfu 2 kama sijakosea na kama nimekosea mtanirekebisha.
Nikaona haaa hua na nunua flash za gb 16,32,64 128 n.k sasa huu mzigo wa tala bite 2 ndio funga kazi nikajua movie sasa zitanikoma ni kumove tu bila kuangalia muv ina gb ngapi ni mpera mpera tu hii mkataba.
nikacheki je ni original au feki
Au nimuulize Chief-Mkwawa nikachek reviews za wanunuaji naona zinasifiwa wamekuta 1.90 tb ukitoa 10 za file nikamuuliza jamaa yangu mmoja akasema hii og tuagize
tena tuagize nyingi bei ef7 tu.
Alafu uku tunakuja kuuza ef 20+ faida kubwa.
Nikawa nafanya mpango wa kuondoa deni la songesha mpesa ili niweke pesa kwenye mpesa master card yangu nilipie bidhaa.
Basi bana nikaingia kwenye item description nikasoma kwa makini mhm nikagundua kitu kwamba hii ngoma ni 2tb ambazo ni gb elf 2 lakini pale wameandika 32gb upgraded to 2 tb na inachukua file za ukubwa huo wa 32 gb baada ya hapo file zitakazo ongezeka azionekani
eheee ndio ishu yenyewe ikabidi niache kwa upande wangu nikaona akuna cha maana bora nichukue flash ya kawaida kuliko hii aipo standard file zingne nisizione ili kiwe nini.
Wakuu ambao tuna nunua vitu
Ali express ,sijui eBay, amazon, bangood pia (kikuu) hii sijawi agizia
Tuwe makini sometimes tunalalamika fake kumbe kuto kusoma bidhaa ipoje na ina mahitaji yepi
Mwishoni
Nikaingia kwenye questions and answers nikakuta wanunuaji ambao tayari wamesha nunua na kutumia wanalalamika full malalamiko mpaka nilicheka moja ya comment ya mdau iliniacha hoi sana
kumbe ni wenyewe kuto isoma bidhaa vizuri aisee tuwe makini wanunuaji wenzangu.>>this seller is a lier